Kisa Afcon Salah kumaliza utata Misri SUPASTAA wa Liverpool, Mohamed Salah anajiandaa kuzungumza na kocha wa Misri, Hossam Hassan wiki ijayo ili kujaribu kuzuia mgogoro mwingine unaoweza kutokea baina ya klabu yake na timu ya taifa...
Sterling awatishia kisu wezi kwake STAA, Raheem Sterling alikabiliana na wezi waliovamia nyumbani kwake kwa kuwashikia kisu katika tukio la kutisha lililotokea hivi karibuni akiwa na familia yake.
Mbeumo hajapenda Cameroon kuchapwa na DR Congo STAA wa Manchester United, Bryan Mbeumo ameonekana kuwa mwenye huzuni kubwa baada ya timu yake ya taifa ya Cameroon kupoteza fursa ya kufuzu fainali za Kombe la Dunia 2026.
Liverpool yaonywa kuhusu Robertson LIVERPOOL imeonyesha kwamba itakuwa imepata hasara kubwa endapo kama itamruhusu beki wa kushoto Andrew Robertson aondoke katika klabu hiyo.
FIFA yampa Kizuguto mechi za lawama, Nigeria v Gabon Shirikisho la Mpira wa Miguu Duniani (FIFA) limemteua Mtanzania Baraka Kizuguto kuwa Mratibu Mkuu wa mechi za mchujo wa kuwania kufuzu Kombe la Dunia 2026 kwa kanda ya Afrika ambazo zitafanyika...
David Raya: Zubimendi ndiye mchezaji anayenivutia Arsenal Kipa wa Arsenal, David Raya, amemchagua mchezaji aliyejiunga na klabu hiyo msimu huu wa majira ya joto ambaye amemvutia zaidi, akiwaacha wachezaji kama Viktor Gyokeres na Eberechi Eze.
Nigeria yatamba imejiandaa kuinyoosha DR Congo RAIS wa Shirikisho la Soka Nigeria (NFF), Alhaji Ibrahim Musa Gusau, ametolea maoni ushindi mkubwa wa Super Eagles dhidi ya Gabon usiku wa Alhamisi, huku akitamba timu hiyo imepania kushinda...
Sare ya Arsenal yamuibua Guardiola, arusha kijembe Kocha wa Manchester City Pep Guardiola, ameipiga kijembe Arsenal, baada ya kuambulia sare ya 2-2 dhidi ya Sunderland iliyokuwa nyumbani Stadium of Light, jana Jumamosi, Novemba 08, 2025.
Harmonize, AY, Fid Q watemwa Grammy NOVEMBA 7, 2025, waandaaji wa tuzo za Grammy waliachia listi ya majina ya watakaowania tuzo hizo kubwa duniani, kati ya majina hayo hakuna msanii wa Bongo Fleva hata mmoja.
Simon Kalika aiacha hatima ya Super Eagle mikononi mwa Chelle Kocha msaidizi wa zamani wa timu ya taifa ya Nigeria maarufu Super Eagles, Simon Kalika, amemtaka kocha mkuu wa sasa wa timu hiyo, Eric Chelle kuendelea na mikakati yeke sahihi, ili kuhakikisha...