Wachezaji wanaolipwa mishahara mikubwa kila klabu EPL MKATABA mpya wa Bukayo Saka kwenye kikosi cha Arsenal unamfanya kuwa mchezaji anayelipwa pesa nyingi zaidi katika klabu hiyo.
Alonso agomea dili Olympique de Marseille KOCHA Xabi Alonso amekataa ofa kutoka klabu ya Olympique de Marseille ya Ufaransa, huku tetesi za kurejea kwake Liverpool zikiendelea kushika kasi kuelekea dirisha lijalo la uhamisho wa majira ya...
Hervé Renard ajutia uamuzi wa kuiacha Morocco Kocha raia wa Ufaransa, Hervé Renard, amekiri kuwa kujiuzulu kwake kama kocha mkuu wa timu ya taifa ya Morocco mwaka 2019 ilikuwa ni uamuzi wa makosa kwani alipaswa kuendelea hadi mwisho wa...
32 wakamatwa Uturuki wakituhumiwa kupanga matokeo MAMLAKA za Uturuki zimewakamata maafisa 32 wa klabu 13 za soka, wakituhumiwa kwa upangaji matokeo ya mechi.
Mgunda meno nje, akiisikilizia Yanga BAADA ya ushindi wa mabao 4-1 dhidi ya Magnet FC, Kocha Mkuu wa Namungo, Juma Mgunda, amesema umerudisha morali kwa wachezaji ikijiandaa kuipokea Yanga keshokutwa Jumapili.
Mtoano wa 16 bora Uefa umeanza kunoga TIMU zilizofuzu hatua ya 16 bora ya Ligi ya Mabingwa Ulaya ziko hatua moja karibu zaidi kufahamu wapinzani wao wanaofuata baada ya michezo ya kwanza ya hatua ya mtoano (play-offs).
Saha ataja viungo wawili wakunaswa Man United MABOSI wa Manchester United wameambiwa wawasajili mastaa wawili hatari kama mbadala wa Casemiro, huku majina ya wachezaji watakaochukua nafasi ya Mbrazili huyo huko Old Trafford yakitajwa hadharani.
Kipa Courtois ajitosa kwenye kumiliki timu KIPA wa Real Madrid, Thibaut Courtois, ndiye mwanasoka wa hivi karibuni aliyejiunga kwenye orodha ya wamiliki wa klabu za soka.
Masharti ya Chelle kupelekwa Kamati ya Ufundi NFF MJUMBE wa Bodi ya Shirikisho la Soka la Nigeria (NFF) amethibitisha kuwa, masharti yaliyowasilishwa na kocha mkuu wa timu ya taifa hilo, Eric Chelle, yatafanyiwa tathmini na Kamati ya Ufundi ya...
Morocco bado inautolea macho uenyeji Kombe la Dunia la Klabu 2029 NCHI ya Morocco bado ina dhamira ya kuwa mwenyeji wa michuano ya Kombe la Dunia la Klabu 2029 kwa kushirikiana na Hispania, ikiamini imekidhi vigezo vyote vya kupewa nafasi hiyo na Shirikisho la...