Kiungo wa boli aikacha Kenya ili akipige na Dube KIUNGO mzaliwa wa Kenya, Jonah Fabisch amefunguka uamuzi wake wa kuitumikia Zimbabwe kwenye soka la kimataifa na kuikacha Harambee Stars.
Ligi Kuu England, balaa ni lile lile! HABARI ni ileile, jichanganye uchanganywe. Hivyo, ndivyo ilivyo kwenye mikikimikiki ya Ligi Kuu England, wakati vita ikiwa kali ya kujaribu kupanda juu kwenye msimamo wa ligi hiyo.
Taifa Stars ‘do or die’ Morocco HAKUNA namna. Taifa Stars ina dakika 90 ngumu usiku wa leo mbele ya Tunisia. Ni ushindi pekee ndio unaweza kuifanya timu hiyo isalie Morocco ama ifungashe virago kurudi nyumbani kama ilivyokuwa...
Misri, Sauzi zapenya Dube akiaga Afcon 2025 TAWANDA Maswanhise amefunga bao matata kabisa wakati Zimbabwe ikichapwa 3-2 na Afrika Kusini na hivyo kutupwa nje ya mashindano ya Afcon 2025 yanayoendelea huko Morocco.
Declan Rice ndo jembe lao Arsenal HABARI ndo hiyo. Kocha wa Arsenal, Mikel Arteta aliingia sokoni kwenye dirisha lililopita la majira ya kiangazi kunasa kiungo wa chini ili kumfanya Declan Rice aanze kuonyesha mavitu yake uwanjani.
Amad Diallo amewasha moto Ivory Coast MASTAA wawili wa Manchester United, Amad Diallo na Bryan Mbeumo wamekumbana uwanjani jino kwa jino kwenye mashindano ya Afcon 2025 huko Morocco.
Eduardo Camavinga aingia anga za Liverpool LIVERPOOL imeweka mezani ofa inayokadiriwa kufikia Pauni 60 milioni kwa ajili ya kumsajili kiungo wa Real Madrid, Eduardo Camavinga, 23.
Kura kuamua hatima ya Rashford Barcelona NOMA sana. Mashabiki wa Barcelona wamepiga kura kuamua kama mshambuliaji Marcus Rashford asajiliwe jumla au miamba hiyo ya Nou Camp aiachane naye tu aondoke mkopo wake ukimalizika.
Staa wa Mali Afcon 2025 aivutia Man United MANCHESTER United imeripotiwa kuwa katika mazungumzo mazito na mshambuliaji anayeshiriki Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) kuhusu uhamisho wa majira ya joto bila ya kulipa chochote.
Put awatuma kazi mastaa The Cranes KOCHA wa Uganda, Paul Put, amesema wachezaji wake lazima waachane haraka na masikitiko ya mwisho wa wiki na “kurekebisha hali ya kisaikolojia” kuelekea kwenye pambano muhimu la Kundi C dhidi ya...