Koffi jela miezi 18 kwa utekaji Mwanamuziki nguli wa mtindo wa Rumba kutoka DRC, Koffi Olomide amehukumiwa kifungo cha miezi 18 jela kwa kuwateka nyara madensa wake wa zamani.
Jose Mourinho haishiwi vituko JOSE Mourinho ana vituko sana. Hicho ndicho unachoweza kusema baada ya kocha huyo kwenda kuzungumza na wachezaji wa timu pinzani akiwaelekeza jambo baada ya kuwafunga katika mchezo wa Kombe la...
Circumference ya Bebe Cool yazidi kupasua anga MKONGWE katika muziki wa Uganda, Bebe Cool anazidi kuchanja mbuga na kibao chake 'Circumference' alichoachia hivi karibuni.
Chaz Baba: Umaarufu samtaim miyeyusho MTUNZI na mwimbaji mkali wa muziki wa dansi, Chaz Baba amesema umaarufu wakati mwingine ni miyeyusho kwani ugeuka ni mateso kwa kuwa humjengea woga msanii kufanya jambo lolote popote hata kama...
Musonye: Yanga bure kabisa KATIBU Mkuu wa Cecafa, Nicholaus Musonye, amekerwa na kikosi alichokiita cha kipuuzi kilichopelekwa na Yanga kwenye michuano ya Kagame kabla hawajakipiga chini.
Kinda Mtanzania wa Ureno kujiunga na Taifa Stars mapema Winga wa Kitanzania, Orgenes Mollel wa FC Famalicão ya Ureno amepanga kuwasili mapema ili kujiunga na kikosi cha timu ya Taifa Stars.
Neymar 'apeta' kikosi cha Brazil Kombe la Dunia Kocha wa timu ya taifa ya Brazil Carlo Ancelotti amemtaja Neymar kwenye kikosi cha wachezaji 26 watakaoiwakilisha Brazil kwenye fainali za Kombe la Dunia 2026.
Vini Jr amtabiria makubwa Lamine Yamal Vinícius Júnior alizungumza katika mahojiano nchini Brazil kuhusu Lamine Yamal, akimsifu kwa kiwango chake kikubwa cha soka licha ya kuchezea FC Barcelona, wapinzani wakubwa wa milele wa Real...
PUMZI YA MOTO: Zamani mpira ulichezwa vizuri ila sasa unachezwa vizuri zaidi KUNA video inazunguka mitandaoni ambayo ilianzia kwa mwandishi mkongwe, Muhidin Issa Mchuzi, aliyeposti kwenye ukurasa wake wa mtandao wa kijamii wa Instagram kupitia mfululizo wa makala...
Britney Spears: Sina mpango wa kurudi kwenye muziki Staa huyo wa muziki na filamu amesisitiza kuwa, "Nimekuwa nikisikia habari nyingi lakini ni takataka, wanasema ninatafuta waandishi waniandikie nyimbo kwa ajili ya kuandaa albamu yangu ya 10...