Kakolanya: Makipa wageni wana kitu KIPA wa Singida Black Stars, Beno Kakolanya aliyekuwa anacheza kwa mkopo Namungo, amesema hakuwa na msimu mzuri kutokana na kucheza mechi saba na sasa yupo nje ya kazi, akisema kwake sio poa...
Kakolanya: Kukaa nyumbani sio poa KIPA wa Singida Black Stars, Beno Kakolanya aliyekuwa anacheza kwa mkopo Namungo, amesema hakuwa na msimu mzuri kutokana na kucheza mechi saba na sasa yupo nje ya kazi, akisema kwake sio poa...
Kiungo JKT aziingiza vitani Mbeya City, Mtibwa KIUNGO mshambuliaji anayemaliza mkataba alionao na JKT Tanzania, Maka Edward ameziingiza vitani klabu zilizorejea Ligi Kuu Bara msimu ujao, Mtibwa Sugar na Mbeya City baada ya mwenyewe kuchomoa...
PRIME Afya ya akili inavyowatesa mastaa KUTOKANA na mabadiliko ya kimaisha kunachangia watu wengi kujikuta wakikumbana na changamoto ya afya ya akili, kitaalamu inashauriwa kutibu dalili mapema kabla ya tatizo kuwa kubwa.
Adebayor: Tulistahili fainali FA MSHAMBULIAJI wa Singida Black Stars, Victorien Adebayor amesema mechi mbili walizocheza dhidi ya Simba, waliwazidi wapinzani kiuwezo licha ya kupoteza mchezo wa kwanza kwa bao 1-0 na kwamba...
PRIME Mabadiliko makubwa yanukia Msimbazi VIKAO vizito vinaendelea ndani ya Simba kupitia tathimini za mchezaji mmoja mmoja kuona mchango wake kama utaisaidia timu hiyo msimu ujao 2025/26.
Joshua Mutale haamini kilichomkuta WINGA wa Simba, Joshua Mutale amesema bado haamini kama kaitwa timu ya taifa ya Zambia 'Chipolopolo' inayojiandaa kucheza mechi za kirafiki za kimataifa dhidi ya Tunisia na Sudan, akisema kwake...
Mgunda afichua kilichomtoa AS Vita BAADA kimya cha muda mrefu cha mshambuliaji Ismail Mgunda, hatimaye ameelezea sababu ya kuachana na AS Vita ya DR Congo aliyokuwa imemsajili akitokea Mashujaa inayocheza Ligi Kuu Bara.
Kichuya arusha taulo mapema Ligi Kuu KIUNGO mshambuliaji wa JKT Tanzania, Shiza Kichuya ametupa taulo mapema kwa kusema kwa ugumu wa Ligi Kuu msimu huu ulivyo hana wa kulaumu na badala yake anapaswa kujipanga upya kwa msimu ujao wa...
Mbeya City yampigia hesabu Maseke KIPA Wilbol Maseke anayemaliza mkataba wake na KMC, anahusishwa kutakiwa na Mbeya City, ili kuongeza nguvu kwa ajili ya msimu ujao baada ya kupanda daraja, ikimaliza nafasi ya pili katika Ligi ya...