Evra amtetea Ruben Amorim BEKI wa zamani wa Manchester United, Patrice Evra, ameonyesha kumuunga mkono kocha wa mashetani wekundu hao, Ruben Amorim, akidai kuwa ndiye mtu sahihi kwa sasa kwani anatanguliza maslahi ya...
Arteta atoa msimamo wa beki Saliba KOCHA, Mikel Arteta amefunguka juu ya hali ya kiafya ya beki wa kati wa Arsenal, William Saliba.
Tanzania yaporomoka nafasi tano viwango vya ubora FIFA Tanzania imeporomoka kwa nafasi tano kwenye viwango vya ubora vya Shirikisho la Mpira wa Miguu Duniani (FIFA) katika chati ya viwango ya mwezi Novemba.
Sadio Mane atoa stori ya Jurgen Klopp STAA Sadio Mane amefichua kwamba ameombwa radhi na kocha Jurgen Klopp baada ya kushindwa kumsajili wakati akiwa Borussia Dortmund ya Ujerumani.
Neto akichafua, Chelsea ikiichapa Burnley kwao CHELSEA imezika rasmi jina la utani la ‘Cole Palmer FC’ shukrani kwa kiwango matata kabisa cha mshambuliaji Pedro Neto.
Rooney awaweka Semenyo, Mbeumo, Gyokeres pamoja WAYNE Rooney amemtaja straika Viktor Gyokeres kwenye orodha ya mastaa wanaofanya vizuri kwenye Ligi Kuu England msimu huu licha ya kuwapo kwa maneno mengi kuhusu ubora wa mshambuliaji huyo wa...
Van Dijk ajifikiria upya hatima yake BEKI wa kati wa Liverpool, Virgil van Dijk ameripotiwa atafikiria hatima ya soka lake baada ya kuiongoza Uholanzi kwenye fainali za Kombe la Dunia 2026.
Kisa Florian Wirtz, Wajerumani wamshutumu Mo Salah Nyota wa Liverpool, Mohamed Salah, ametupiwa lawama na baadhi ya vyombo vya habari vya Ujerumani, vikidai anahusika na mwanzo mgumu wa Florian Wirtz katika klabu hiyo ya Anfiled.
Mke wa Jux, Omoni Oboli wang’ara Nigeria MWANADADA Priscilla Ojo, mke wa nyota wa muziki wa kizazi kipya nchini, Jux sambamba na Omoni Oboli wameng’ara katika hafla ya tukio maalumu la BOZ ‘Love & Boz Circle-Prive lililofanyika...
Kocha Spurs awageuzia kibao mashabiki KOCHA wa Tottenham, Thomas Frank amegeukia mashabiki wa timu hiyo na kuwachana kwa tukio lao la kumzomea kipa Guglielmo Vicario wakati wa mechi yao dhidi ya Fulham.