Mdau wa soka Nigeria awaonya viongozi NFF ishu ya Chelle MWENYEKITI wa zamani wa Shirikisho la Soka la Jimbo la Gombe, Ahmed Shuaibu Gara-Gombe, ameuonya uongozi wa Shirikisho la Soka la Nigeria (NFF) kuhusu mchakato wa kusaini mkataba mpya na Kocha...
Philippe Coutinho pesa sio shida zake WIKI iliyopita kiungo mshambuliaji wa Brazil, Philippe Coutinho, alitamba katika vichwa vya habari baada ya kuvunja mkataba wake na klabu ya Vasco da Gama ya Brazil kwa kile kilichoelezwa kuwa ni...
Neymar kustaafu hivi karibuni STAA wa kimataifa wa Brazil, Neymar amesema kuwa anafikiria kustaafu kucheza soka katika miezi michache ijayo.
Anthony Gordon aangaliwa kuwa mbadala wa Salah LIVERPOOL inaandaa ofa ya Pauni 83 milioni kumsajili winga wa Newcastle United na timu ya taifa ya England, Anthony Gordon, 24, ikiwa mshambuliaji wao wa kimataifa wa Misri Mohamed Salah, 33...
Michael Carrick atamani dili Man United KOCHA wa mpito wa Manchester United, Michael Carrick sasa yuko kwenye mchakato wa kuwa kocha rasmi wa mashetani wekundu hao.
Geay afunika tena Deagu Marathon MWANARIADHA nyota wa kimataifa wa riadha wa Tanzania, Gabriel Geay amefanya kweli katika Mbio za Daegu Marathon 2026 kwa kutetea ubingwa wa mbio hizo kwa mara ya pili mfululizo zilizofanyika...
Zinedine Zidane apata dili Ufaransa TAARIFA za ndani zinadai kocha Zinedine Zidane anajiandaa kurejea rasmi katika benchi la ufundi baada ya kufikia makubaliano kwenye mazungumzo yake na mabosi wa timu ya taifa ya Ufaransa.
Arteta achimba mkwara Arsenal, afungua milango kwa wachezaji wake KOCHA wa Arsenal, Mikel Arteta amewaambia wachezaji wake kwamba mlango upo wazi na wanaweza kuondoka ikiwa hawawezi kuvumilia presha ya mbio za ubingwa.
Kigogo Barca ataka kumrudisha Messi MGOMBEA wa urais wa Barcelona, Victor Font, amezungumza kuhusu dhamira yake ya kumrudisha lejendi wa klabu hiyo, Lionel Messi astaafu soka akiwa katika viunga hivyo na apate heshima ya kuagwa...