Aubameyang ndio basi tena na Gabon KAZI ya kimataifa ya Pierre-Emerick Aubameyang inaonekana kumalizika kimyakimya baada ya mshambuliaji huyo kurejea Ufaransa Jumanne kutokana na majeraha, hali iliyomfanya kuikosa mechi ya mwisho...
Uganda yabadili makipa watatu, lakini wapi! UGANDA imetupwa nje ya mashindano ya AFCON 2025 licha ya kutumia makipa wote watatu kwenye mechi yao ya Nigeria iliyomalizika kwa kichapo cha mabao 3-1.
Luca Zidane ageuka lulu AFCON 2025 KIPA Luca Zidane anaendelea kuwa gumzo na chaguo pendwa kwa timu ya taifa ya Algeria, wakati taifa hilo leo litakuwa dimbani kusaka clean sheet ya tatu ya hatua ya makundi dhidi ya Guinea ya...
Maurizio Sarri apasuliwa moyo ALIYEKUWA kocha wa Chelsea, Maurizio Sarri amefanyiwa upasuaji wa moyo huko Rome, Italia baada ya kupimwa na kuonekana upumuaji wake hauko kawaida.
Masuaku aumia Afcon 2025 presha ipo Ulaya SUNDERLAND kijasho kinawatoka baada ya kusikia beki wao Arthur Masuaku amepata majeraha wakati akitumika kwenye mashindano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) yanayoendelea huko Morocco.
Hossam Hassan atisha watu mtoano AFCON 2025 KOCHA Mkuu wa Misri, Hossam Hassan amesema kucheza mashindano ya Kombe la Mataifa ya Afrika kila baada ya miaka miwili huzivutia ligi za Ulaya, huku akisisitiza kikosi chake kipo imara...
Mbappe kaweka shilingi yake kwa Morocco SUPASTAA wa soka, Kylian Mbappe anaamini chama analochezea swahiba wake, Achraf Hakimi ambako ni Morocco ndilo litakalonyakua ubingwa wa AFCON.
Bafana Bafana yamtia mashaka kocha Broos KOCHA wa Bafana Bafana, Hugo Broos, ana wasiwasi kuhusu kushindwa kwa timu yake kukosa ukatili wa kumaliza mechi katika nyakati muhimu wakati ikishiriki mashindano ya Kombe la Mataifa ya Afrika...
Vita Kundi F AFCON 2025, haijaisha hadi iishe! MSIMAMO unavyosoma kwenye Kundi F la mashindano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2025 umenoga kwelikweli na timu zote nne zipo kwenye mchakato wa kuwania kukamatia tiketi ya kutinga hatua ya...
Shabiki adai... Ukiwa na Osimhen unaongoza 1-0 SHABIKI wa kutupwa wa Galatasaray amepeleka mapenzi yake kwa mshambuliaji wa Super Eagles, Victor Osimhen, nje ya mipaka ya Istanbul, imeripotiwa.