Madueke: Muda wa mataji umefika STAA Noni Madueke amekamilisha dili lake la kujiunga na Arsenal na hakutaka kuchukua muda kuwaambia mashabiki wa timu hiyo: “Sasa ni muda wa mataji.”
Liverpool yaendelea kushusha vyuma LIVERPOOL iko mbioni kumsajili nyota wa Paris Saint-Germain, Bradley Barcola ikiwa ni mwendelezo wa kutumia bajeti ya zaidi ya Pauni 300 milioni katika dirisha hili.
Arsenal yakoleza moto kwa Gyokeres ARSENAL imeripotiwa kukoleza moto kunasa saini ya straika Viktor Gyokeres kutoka Sporting CP kwenye dirisha hili la uhamisho wa majira ya kiangazi.
Man united, Arsenal zamtia wazimu Gyokeres VIKTOR Gyokeres ametishia kuingia kwenye mgomo ili kulazimisha kuuzwa dirisha hili la majira ya kiangazi, imeelezwa.
Rayan Cherki afichua usajili wa Chelsea STAA mpya wa Manchester City, Rayan Cherki amefichua usajili mpya utakaofanywa Chelsea kwenye dirisha hili kwamba watatua Lyon kwenda kunasa huduma ya mchezaji mwenzake wa zamani, Malick Fofana.
Slot hataki kushangilia KOCHA wa Liverpool, Arne Slot amesisitiza timu yake haitobweteka licha ya kuongoza ligi kwani wanaamini Manchester City wanawawinda kimya kimya.
Ben White kukaa nje kwa miezi kadhaa KOCHA wa Arsenal, Mikel Arteta ameweka wazi beki wao, Ben White atakuwa nje ya uwanja kwa miezi kadhaa kutokana na majeraha.
Petit: Mbappe hakutakiwa Madrid MCHEZAJI wa zamani wa Ufaransa, Emmanuel Petit anadai Carlo Ancelotti na baadhi ya wachezaji wa Real Madrid hawakutaka kuona Kylian Mbappe anasajiliwa dirisha la majira ya kiangazi mwaka huu.
Polisi Thailand avaa jezi ya Liverpool amkamate muhalifu WANASEMA tembea uyaone. Ndiyo hivyo, polisi wa upepelezi Thailand walivaa jezi za Liverpool kwa ajili ya tukio la kumkamata shabiki wa Newcastle United aliyedaiwa kuhusika na biashara ya dawa za...
Mwambusi ashtukia jambo Coastal Union KOCHA wa Costal Union ya Tanga, Juma Mwambusi, ameshtukia kitu ndani ya timu hiyo huku akijipanga kukomaa na safu yake ya ulinzi iliyoonyesha dosari kubwa huku zikisalia mechi saba kumaliza msimu...