Ancelotti, Real Madrid siku zinahesabika, asubiriwa Brazil Vyanzo vinasema kuwa kocha huyo anatakiwa na timu ya Taifa ya Brazil na ataanza kazi yake mwishoni mwa msimu huu akiwa anatakiwa kuhakikisha timu hiyo inafanya vizuri kwenye fainali zijazo za...
Duh! Mastaa kumi waomba sub KOCHA wa Juventus, Igor Tudor amefichua kwamba wachezaji 10 walimwomba kutoka uwanjani katika mechi yao ya kipigo kutoka kwa Real Madrid kwenye kipute cha hatua ya 16 bora ya michuano ya Kombe la...
Alisson aondolewa mtu wake Anfield KIPA, Alisson ameripotiwa kukuna kichwa kwa sasa huko Liverpool akiwaza itakuwaje baada ya kudaiwa kuwapo na mabadiliko makubwa kwenye idara ya makipa ya klabu hiyo.
Musiala amkosesha raha Donnarumma KIPA namba moja wa Paris Saint-Germain, Gianluigi Donnarumma ameangukia kilio uwanjani baada ya kuumizwa na kitendo cha kuhusika kwenye tukio la kuvunjika mguu Jamal Musiala.
Onana aharibu hesabu mapema MANCHESTER United imepata pigo kubwa baada ya kipa Andre Onana kupata maumivu ya misuli ya paja itakayomfanya akosekane kwenye ziara ya pre-season ya miamba hiyo.
Aslay hataki kushobokea tena WALIOSEMA aisifiaye mvua imemnyeshea, wala hakukosea baada ya nyota wa muziki wa kizazi kipya nchini aliyeibuliwa na Kituo cha Mkubwa na Wanae kisha kutamba na Yamoto Band, Aslay kufichua jambo...
Billnass ajilipua ishu ya afya ya akili MSANII maarufu wa Bongo Fleva, William Lyimo ‘BillNass’ ameshindwa kujizuia na kujilipua kuhusu ishu ya tatizo la afya ya akili kwa kuwataka vijana wadogo wenye vipaji wanaotamani kuingia kwenye...
Manchester United kupasuka mamilioni kisa mastaa wake MANCHESTER United ipo katika hatari ya kutumia mamilioni kwa msimu ujao ili kuwaondoa katika timu wachezaji ambao haiwahitaji.
Amorim ataka aletewe msaidizi KOCHA wa Manchester United, Ruben Amorim amewaomba mabosi kufanya kila wanaloweza ili kumletea msaidizi wake wa zamani Acacio Valentim wapige mzigo Old Trafford.
Inachokifanya Barcelona ni kama Yanga WAKATI Tanzania Yanga ikidaiwa kufikia makubaliano ya kumsajili Mohame Hussein Tshabalala kutoka kwa majirani zao Simba, kule Hispania mambo pia yapo hivi baada ya Barcelona kuripotiwa inataka...