Antonio Conte kuipiga kibuti Napoli KOCHA, Antonio Conte amepanga kuachana na Napoli kwenye dirisha hili la uhamisho wa majira ya kiangazi licha ya kuiongoza klabu hiyo kushinda taji la Serie A msimu huu, imeelezwa.
Milan yazitajia, Madrid, Bayern bei ya Leao AC Milan wamewaambia wawakilishi wa Real Madrid na Bayern Munich kuwa inahitajika Euro 130 milioni ili kuipata saini ya mshambuliaji wao Rafael Leao katika dirisha lijalo la majira ya kiangazi.
Zidane akataa ofa kubwa Saudi Arabia KOCHA wa zamani wa Real Madrid, Zinedine Zidane amekataa nafasi ya kurejea katika ukocha licha ya kutokuwa na kazi kwa miaka minne.
Slot anatafuta mtu Liverpool KOCHA wa Liverpool, Arne Slot, anatafuta msaidizi mpya baada ya John Heitinga kuachana na timu hiyo na kutua Ajax ambako amepata ajira ya kuwa kocha mkuu.
Mchumba wa Diaz aaga Liverpool MCHUMBA wa Luiz Diaz ambaye ni mshambuliaji wa Liverpool, Gera Ponce amechapisha ujumbe wa hisia kwenda kwa mashabiki wa Liverpool ambao unahisiwa kuwa ni miongoni mwa nyota walio mbioni kuondoka.
Arteta: Unabisha? Angalia takwimu MIKEL Arteta ameshikilia msimamo wake, Arsenal ilikuwa timu bora zaidi kati ya zote zilizocheza Ligi ya Mabingwa Ulaya msimu huu na kumwambia Luis Enrique anayebisha “Kaangalie takwimu.”
Maresca bado yupo sana Chelsea TAARIFA za ndani kutoka Chelsea zimeweka wazi Kocha wa timu hiyo, Enzo Maresca ataendelea kuwepo msimu ujao hata kama matajiri hao wa Jiji la London watashindwa kufuzu kucheza Ligi ya Mabingwa...
Bei anayouzwa Rashford imetajwa MANCHESTER United imetaja bei anayouzwa winga Marcus Rashford na timu itakayohitaji huduma ya staa huyo dirisha lijalo la usajili itapaswa kulipa Pauni 40 milioni.
Amorim ataka beki wa kati Man United KOCHA wa Manchester United, Ruben Amorim amesema timu hiyo italazimika kuingia sokoni dirisha lijalo la uhamisho wa majira ya kiangazi kusajili beki wa kati.
Ancelotti, Brazil mambo yameiva SHIRIKISHO la soka la Brazil linaripotiwa kuwa na imani kubwa ya kumpata kocha wa Real Madrid, Carlo Ancelotti kuelekea michuano ya Kombe la Dunia kwa Klabu.