Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

8716 results for Mwandishi :

  1. Antonio Conte kuipiga kibuti Napoli

    KOCHA, Antonio Conte amepanga kuachana na Napoli kwenye dirisha hili la uhamisho wa majira ya kiangazi licha ya kuiongoza klabu hiyo kushinda taji la Serie A msimu huu, imeelezwa.

    CONTE Pict
  2. Milan yazitajia, Madrid, Bayern bei ya Leao

    AC Milan wamewaambia wawakilishi wa Real Madrid na Bayern Munich kuwa inahitajika Euro 130 milioni ili kuipata saini ya mshambuliaji wao Rafael Leao katika dirisha lijalo la majira ya kiangazi.

    New Content Item (1)
  3. Zidane akataa ofa kubwa Saudi Arabia

    KOCHA wa zamani wa Real Madrid, Zinedine Zidane amekataa nafasi ya kurejea katika ukocha licha ya kutokuwa na kazi kwa miaka minne.

    ZIDANE Pict
  4. Slot anatafuta mtu Liverpool

    KOCHA wa Liverpool, Arne Slot, anatafuta msaidizi mpya baada ya John Heitinga kuachana na timu hiyo na kutua Ajax ambako amepata ajira ya kuwa kocha mkuu.

    SLOT Pict
  5. Mchumba wa Diaz aaga Liverpool

    MCHUMBA wa Luiz Diaz ambaye ni mshambuliaji wa Liverpool, Gera Ponce amechapisha ujumbe wa hisia kwenda kwa mashabiki wa Liverpool ambao unahisiwa kuwa ni miongoni mwa nyota walio mbioni kuondoka.

    DIAZ Pict
  6. Arteta: Unabisha? Angalia takwimu

    MIKEL Arteta ameshikilia msimamo wake, Arsenal ilikuwa timu bora zaidi kati ya zote zilizocheza Ligi ya Mabingwa Ulaya msimu huu na kumwambia Luis Enrique anayebisha “Kaangalie takwimu.”

  7. Maresca bado yupo sana Chelsea

    TAARIFA za ndani kutoka Chelsea zimeweka wazi Kocha wa timu hiyo, Enzo Maresca ataendelea kuwepo msimu ujao hata kama matajiri hao wa Jiji la London watashindwa kufuzu kucheza Ligi ya Mabingwa...

    MARESCA Pict
  8. Bei anayouzwa Rashford imetajwa

    MANCHESTER United imetaja bei anayouzwa winga Marcus Rashford na timu itakayohitaji huduma ya staa huyo dirisha lijalo la usajili itapaswa kulipa Pauni 40 milioni.

    RASHFORD Pict
  9. Amorim ataka beki wa kati Man United

    KOCHA wa Manchester United, Ruben Amorim amesema timu hiyo italazimika kuingia sokoni dirisha lijalo la uhamisho wa majira ya kiangazi kusajili beki wa kati.

    MAN UTD Pict
  10. Ancelotti, Brazil mambo yameiva

    SHIRIKISHO la soka la Brazil linaripotiwa kuwa na imani kubwa ya kumpata kocha wa Real Madrid, Carlo Ancelotti kuelekea michuano ya Kombe la Dunia kwa Klabu.

    ANCELOTTI Pict
Previous

Page 192 of 872

Next