Kocha Manchester City amkingia kifua Donnarumma KOCHA wa Manchester City, Pep Guardiola, amemlinda kipa wake Gianluigi Donnarumma ambaye amekuwa akikosolewa kwa pasi zake fupi anazopiga kwenda kwa mabeki.
Bruno Fernandes awatia hofu mastaa Man United MASTAA wa Manchester United wameingiwa hofu kwa nahodha wa timu hiyo, Bruno Fernandes kuchoshwa na mambo yanayoendelea kikosini na huenda anaweza kutaka kuondoka kupitia dirisha lijalo la majira...
Mkali Osimhen aipeleka Nigeria nusu fainali Afcon 2025 VICTOR Osimhen na Akor Adams wameunga mabao muhimu kupeleka Nigeria hatua ya nusu fainali ya Kombe la Mataifa ya Afrika (Afcon) 2025 baada ya kuichapa Algeria mabao 2-0.
Bernardo Silva akaribia kutua katika kikosi cha Juventus JUVENTUS inaongoza mbio za kuwania saini ya kiungo wa Manchester City na timu ya taifa ya Ureno, Bernardo Silva, 31, ambaye mkataba wake wa sasa unatarajiwa kumalizika mwisho wa msimu huu.
Amorim ahusishwa kibarua cha Mourinho RUBEN Amorim ameripotiwa yupo kwenye hatua nzuri ya kupata kazi mpya huko kwao Ureno ikiwa ni siku chache tu tangu alipofutwa kazi Manchester United, Jumatatu iliyopita.
Edwards, staa wa tatu mdogo NBA kufikisha pointi 10,000 ANTHONY Edwards amekuwa mchezaji wa tatu mwenye umri mdogo zaidi katika historia ya Ligi ya Kikapu Marekani (NBA) kufikisha pointi 10,000 katika michuano hiyo baada ya nyota huyo wa Minnesota...
Solskjaer, Man United kuna kitu kinapikwa OLE Gunnar Solskjaer ameripotiwa kwamba angetumia siku ya jana Jumamosi kufanya mazungumzo zaidi ya kuhusu kibarua cha kuinoa Manchester United.
Tatizo la Amorim ni wachezaji saba MJADALA wa moto kwa sasa ni kuhusu kocha Ruben Amorim. Manchester United imemfuta kazi kocha huyo, lakini kinachojadiliwa, je uamuzi huo ni sahihi kufanyika kwa sasa au ameonewa na kwamba...
Kofane kufuata nyayo za Roger Milla, Eto’o MSHAMBULIAJI kijana wa Cameroon, Christian Michel Kofane ameandika historia mapya katika Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON), baada ya kung’ara akiwa na umri wa miaka 19 tu.