Jean-Philippe Mateta akaribia kumalizana na Juventus JUVENTUS wameongeza kasi katika harakati za kumsajili mshambuliaji wa Crystal Palace na Ufaransa, Jean-Philippe Mateta, 28, baada ya kufanya mazungumzo rasmi na mawakala wake Ijumaa ya wiki...
Kocha Crystal Palace awachana matajiri KOCHA wa Crystal Palace, Oliver Glasner amesema viongozi wa timu hiyo wamewatelekeza yeye pamoja na wachezaji hali inayoendelea kuzorotesha kiwango cha timu kila siku.
Joshua aanza tizi, kuhusu kustaafu sikia hii BAADA ya tetesi zilizodai anaweza akastaafu, Bondia raia wa England, Anthony Joshua amechapisha kwa mara ya kwanza video za mazoezi yake tangu apate ajali mbaya ya gari iliyosababisha vifo vya...
Kigogo Man United azomewa Old Trafford BOSI wa Manchester United, Sir Jim Ratcliffe alizomewa na mashabiki alipowasili Old Trafford kwa ajili ya kutazama dabi ya Manchester.
Kocha Spurs akalia kuti kavu, wakati wowote kitanuka MUSTAKABALI wa Kocha Thomas Frank katika kikosi cha Tottenham uko matatani baada ya mashabiki kutaka afukuzwe baada ya kipigo cha nyumbani cha mabao 2-1 kutoka kwa West Ham.
Tumeonewa… Arteta awaka kunyimwa penalti ya wazi KOCHA wa Arsenal, Mikel Arteta amesema anaamini timu hiyo ilipaswa kupewa 'penalti ya wazi kabisa' katika mechi ya juzi usiku ya Ligi Kuu England dhidi ya Nottingham Forest iliyomalizika kwa suluhu.
Nigeria yashika namba tatu Afcon 2025 NIGERIA imethibitisha nafasi yake ya tatu katika Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2025 baada ya kuibuka na ushindi wa mikwaju ya penalti 4-2 dhidi ya Misri.
Man United ya Carrick yaichapa Man City 2-0 MICHAEL Carrick aliwahi kusema bado kuna “uchawi” ndani ya Manchester United.
Pogba wa Zenji aibukia KMC KIUNGO mshambuliaji wa Mlandege, Juma Kidawa ‘Pogba’ aliyekuwa akihusishwa kutua Azam FC, ameibukia KMC kwa kusainishwa mkataba wa miaka ili kuitumikia timu hiyo inayopambana kujiweka katika...