Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

7941 results for Mwandishi Wetu :

  1. WAMECHOMOA… Watoto wa mastaa waliokimbia soka

    KUNA msemo usemao kwamba “mtoto wa nyoka ni nyoka” au ule wa “maji hufuata mkondo”. Watu wamekuwa wakitumia misemo hiyo mara nyingi wanapoona mtoto anafuata nyayo za wazazi katika jambo fulani...

  2. Dilunga aungana na Mzamiru TRA

    KIUNGO wa zamani wa Simba na JKT Tanzania, Hassan Dilunga amekamilisha dili la kujiunga na TRA United akiungana na Mzamiru Yassin waliyecheza pamoja wakiwa Simba.

  3. Emiliano Martinez katua anga za Inter Milan

    INTER Milan inafikiria uwezekano wa kumsajili kipa wa Aston Villa na timu ya taifa ya Argentina, Emiliano Martinez, 33, katika dirisha la usajili wa majira ya kiangazi.

  4. Carragher ataja makocha wanne wanaofaa Man United

    GWIJI wa Liverpool na mchambuzi wa soka, Jamie Carragher amesema haamini kama Michael Carrick ana ubora huo unaohitajika kupata kazi ya ukocha wa kudumu katika klabu ya Manchester United, lakini...

  5. Mbappe aingia kundi la wababe Madrid

    SUPASTAA Kylian Mbappe amefanya jambo ambalo ni wachezaji watatu tu katika historia ya Real Madrid waliowahi kulifanya, rekodi safi.

  6. Haaland aomba radhi kipigo Man City

    STRAIKA wa Manchester City, Erling Haaland amewaomba radhi mashabiki wa timu hiyo baada ya kupoteza kwa aibu kwenye Ligi ya Mabingwa dhidi ya timu ndogo ya Bodoe/Glimt usiku wa Jumanne.

  7. Vita ya namba Jesus, Gyokeres Arsenal

    MASTRAIKA, Gabriel Jesus na Viktor Gyokeres wote waliandikisha majina yao kwenye orodha ya wafungaji katika ushindi wa Arsenal wa mabao 3-1 dhidi ya Inter Milan Jumanne usiku katika mikikimikiki...

  8. Haya ndo majina ya kushangaza katika soka

    FIKIRIA tungekuwa tunaishi vipi kama tungekuwa hatuna majina na kutambulika tu kama binadamu, yaani watoto wa Adam na Hawa.

  9. UEFA: Arsenal yafuzu mtoano, Man City hoi

    ARSENAL imeweka rekodi mpya ya klabu katika michuano ya Ligi ya Mabingwa Ulaya kwa ushindi wao wa saba mfululizo, baada ya kuifunga Inter Milan 3-1 katika Uwanja wa San Siro usiku wa Jumanne.

  10. Ligi ya mkwanja washika usukani

    MWAKA 2025 ulimalizika takriban siku kadhaa zilizopita na sasa dunia inaelea ndani ya 2026, na kama ilivyo kila sekta ikiwamo ile ya michezo watu wanahesabu walichovuna, huku kukiwa na wale...

    MKWAJA Pict
Previous

Page 175 of 795

Next