Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

7940 results for Mwandishi Wetu :

  1. Funika mdomo, siri ya wachezaji wakiteta uwanjani

    HUENDA umekuwa ukiona jambo hili, lakini hukuwahi kufikia linafanyika kwa sababu zipi. Ndiyo, ni mara nyingi imekuwa ikionekana wachezaji au makocha pale wanapokuwa wakizungumza uwanjani hupenda...

  2. Mavumba ya Carrick kwa Mbeumo sio poa

    KOCHA wa Manchester United, Michael Carrick amevuruga mipango iliyowahi kuwekwa na kocha wa zamani wa timu hiyo Ruben Amorim kuhusu mshambuliaji Bryan Mbeumo siku chache tu baada ya kuajiriwa.

  3. Badala ya AJ, Furry kuzitwanga na huyu

    BAADA ya kupoteza pambano la pili mfululizo dhidi ya Oleksandr Usyk Desemba 2024 na baadae kuamua kustaafu ndondi, Tyson Furry ametangaza atarejea ulingoni mwaka huu ikiwa imepita miezi 14 tangu...

  4. Liverpool yaandamwa na majeruhi kibao

    IDADI ya mastaa wanaosumbuliwa na majeraha katika kikosi cha Liverpool imezidi kuongezeka baada ya Jeremie Frimpong kupata jeraha la nyama za nyuma ya paja (hamstring) katika mechi dhidi ya...

  5. Dembele anasakwa na Wasaudia

    MATAJIRI wa Ligi Kuu ya Saudi Arabia wanaandaa mikakati mikubwa dirisha lijalo la majira ya kiangazi ili kumsajili mshindi wa Ballon d’Or, Ousmane Dembele.

  6. Vigogo EPL waiteka UEFA

    HATUA ya kwanza ya michuano ya Ligi ya Mabingwa Ulaya imemalizika na timu tano za Ligi Kuu England zimefuzu moja kwa moja hatua ya mtoano baada ya kumaliza nafasi za juu.

  7. CAF yazipiga rungu zito Senegal, Morocco kwa utovu wa nidhamu AFCON

    Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) limetoa adhabu kali kwa vitendo vya utovu wa nidhamu vilivyoonyeshwa katika mechi ya Fainali ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2025 baina ya timu zao...

  8. TFF yaufungia Uwanja wa KMC kwa kukosa vigezo vya kikanuni

    Shirikisho la mpira wa miguu Tanzania, TFF limeufungia uwanja wa KMC kutumika kwenye mechi kutokana na kukosa vigezo vya kikanuni na sheria za mpira wa miguu

  9. Madrid, PSG zasubiri mchujo UEFA

    JANA usiku, zimepigwa mechi 18 za Ligi ya Mabingwa Ulaya kuhitimisha mfumo wa ligi ambapo sasa zimefahamika timu nane zilizofuzu moja kwa moja hatua ya 16 Bora, huku zingine 16 zikisubiri kucheza...

    New Content Item (1)
  10. JOBLESS: Makocha waliolipa kisogo benchi muda mrefu

    KATIKA soka la kisasa lenye presha kubwa ya matokeo na uharaka ni nadra kuona makocha wakubwa wakikaa nje na hawana kazi kwa muda mrefu.

    ZIDANE Pict
Previous

Page 165 of 794

Next