Antoine Griezmann kumfuata Messi MLS MSHAMBULIAJI wa kimataifa wa Ufaransa, Antoine Griezmann anatarajiwa kuwa “mpinzani” wa Lionel Messi tena katika Ligi kuu Marekani (Major League Soccer - MLS), jambo linalofufua kumbukumbu za...
Jurgen Klopp akanusha uvumi wa kuinoa Real Madrid KOCHA wa zamani wa Liverpool, Jurgen Klopp amekanusha taarifa za kurejea kufundisha soka zinazomhusisha na Real Madrid, “hazina ukweli wowote.”
Majanga! Majeruhi sita Arsenal wazua hofu BEKI wa Arsenal, Gabriel Magalhaes ameungana na nyota wengine watano wa kikosi hicho waliotemwa na timu zao za taifa kwa kuhofiwa kuwa majeruhi.
Davies atajwa kutua Manchester United MANCHESTER United imeonyesha nia ya kutaka kumsajili beki wa kushoto wa kimataifa wa Canada, Alphonso Davies, 25, kutoka Bayern Munich katika dirisha lijalo la usajili wa majira ya kiangazi.
Spurs dah! Chelsea, Liverpool hazichekani HAKUNA namna zaidi ya kupigana hadi tone la mwisho. Ndiyo, Spurs ili isalie Ligi Kuu England msimu ujao, ina kazi ya kufanya kuhakikisha inashinda mechi zake zilizosalia kwa asilimia kubwa ili...
FIFA U17 ilivyoleta vyuma vilivyotikisa UNAPOANGALIA baadhi ya wachezaji waliowahi kuonyesha vipaji kwenye Kombe la Dunia, huwezi kuviweka kando vipaji vilivyoibukia katika nchi kadhaa kwenye mabara tofauti duniani.
Mo Salah anavyoburuza namba akisugua benchi LIVERPOOL wanaonekana ‘kufika mwisho’ na Mohamed Salah msimu huu, lakini takwimu zake bado zinampita winga wa Arsenal, Bukayo Saka kuonyesha kwamba bado Mmisri huyo yupo vizuri zaidi.
Wanne washikwa mkono gofu kimataifa WAKATI mashindano ya gofu kwa chipukizi Afrika yakianza jana Jumatatu nchini Kenya, Benki ya NCBA imejitolea kuwadhamini watoto wanne watakaoiwakilisha Tanzania katika mashindano hayo.
Dar City yabeba matumaini BAL SERIKALI ya Tanzania imesema imejipanga kuendeleza sekta ya michezo nchini, hususan mpira wa kikapu, kufuatia hatua ya taifa kuandika historia kwa kushiriki mashindano ya Afrika (BAL) kwa mara ya...