Ronaldo kufanya kikao na mabosi wa Al Nassr HIVI karibuni kumekuwa na sintofahamu katika kikosi cha Al Nassr baada ya Cristiano Ronaldo kugoma kucheza mechi dhidi ya Al-Riyadh mapema wiki hii.
Dili zote za usajili Ligi Kuu England dirisha la Januari, 2026 MKWANJA mrefu, Pauni 400 milioni zimetumiwa na klabu za Ligi Kuu England kwenye usajili wa dirisha la Januari 2026.
Hii hapa Coastal iliyozitesa Simba, Yanga ikabeba ndoo! KWA mashabiki wa soka wa Tanga, kuna misimu miwili tu ya Ligi ya soka nchini ambayo ni migumu kufutika vichwani mwao, mmoja ni ule wa mafanikio makubwa kisoka na mwingine wa huzuni ulioshuhudia...
Man United bado inamtaka Jean-Philippe Mateta MANCHESTER United inatajwa kufufua tena nia yake ya kumsajili mshambuliaji wa Crystal Palace, Jean-Philippe Mateta, 28, kuelekea dirisha lijalo la majira ya kiangazi.
Nani Arsenal? Kiboko mipira iliyokufa ni hawa ARSENAL imekuwa ikisifiwa sana kwa ufanisi wao mkubwa katika mipira ya adhabu.
Duh! Wolves yasajili kina Gomes wanne WATANGAZAJI na wachambuzi wa soka watalazimika kuwa makini sana kwenye mechi za Wolverhampton Wanderers baada ya klabu hiyo kumsajili mchezaji wa nne mwenye jina linalofanana na wengine waliopo...
Spurs mnalo hilo, Bukayo Saka anarudi BUKAYO Saka analenga kurejea uwanjani akiwa fiti kwa ajili ya dabi ya North London itakayochezwa baadaye mwezi huu.
Kante avunjiwa mkataba aende kukipiga Uturuki N’GOLO Kante ameondoka kwenye klabu ya Al-Ittihad baada ya mkataba wake kuvunjwa na timu hiyo ya Ligi Kuu Saudi Arabia.
Pep Guardiola amtia presha Arteta PEP Guardiola anatumia mbinu ya nje ya uwanja kumtisha mpinzani wake kwenye mbio za ubingwa Mikel Arteta kwamba hatashinda ubingwa licha ya kutumia pesa nyingi kwenye usajili kuliko yeye.
Arteta, Rice watuma salamu baada ya kufuzu fainali BAADA ya takribani miaka sita ya kusubiri na kushindwa mara nne mfululizo katika hatua ya nusu fainali, ushindi wa Arsenal wa jumla ya mabao 4-2 dhidi ya Chelsea kwenye nusu fainali ya Kombe la...