VAN DAMME; Mkali wa mapigano anayeendelea kuvuna MWISHONI mwa wiki iliyopita, jina la Jean-Claude Van Damme lilitikisa tena kwenye vyombo vya habari baada ya taarifa kuibuka staa huyo wa zamani wa filamu za mapigano anatajwa kupewa dili jipya...
Maswali magumu ratiba Ligi Kuu Bara BODI ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) imetoa ratiba mpya ya kumalizia msimu wa 2025/26 na mechi za mwisho za mzunguko wa 30 ambazo ni za kufunga msimu, zitapigwa Juni 30,2026.
Simba mambo magumu, Dabi ya Mzizima ikiisha bila mbabe Katika Uwanja wa Azam Complex, Chamazi jijini Dar es Salaam ndiko ulikopigwa mchezo wa dabi ya Mzizima iliozikutanisha Azam FC na Simba katika kampeni ya kusaka taji la Ubingwa wa Ligi Kuu Bara.
Man United kuuza mastaa watano TAJIRI wa Manchester United, Jim Ratcliffe anataka kiasi cha Pauni 100 milioni kutokana na mauzo ya wachezaji dirisha lijalo la majira ya kiangazi.
Mashabiki Liverpool washindwa kuvumilia MASHABIKI wa Liverpool wenye hasira walionekana wakiondoka katika Uwanja wa Etihad wakati mechi kati ya klabu yao na Manchester City ikiwa imechezwa kwa dakika 60 tu.
Arteta awachana wachezaji Arsenal KOCHA wa Arsenal, Mikel Arteta amewaambia wachezaji wake lazima wajifunze na kukabiliana na vipindi vigumu kuendana na hali ngumu vinginevyo watajikuta wakimaliza msimu bila taji.
Kocha Chelsea amjibu wakala wa Enzo KOCHA wa Chelsea, Liam Rosenior ametoa majibu juu ya kauli ya wakala wa Enzo Fernandez, Javier Pastore, aliyedai adhabu aliyopewa mchezaji huyo “si ya haki kabisa.”ni kijana mzuri sana. Kwa sasa...
Mayweather, Pacquiao kuna utata PAMBANO kati ya Floyd Mayweather na Manny Pacquiao bado linatarajiwa kuwepo kama lilivyopangwa licha ya taarifa Mayweather amevunja mkataba wa pambano hilo.
Gordon aziingiza vitani Arsenal, Liverpool ARSENAL ipo tayari kuingia vitani na Liverpool ili kumsajili mshambuliaji wa Newcastle United na timu ya taifa ya England, Anthony Gordon, 25, dirisha lijalo la majira ya kiangazi.