Magwiji Man United watofautiana kuhusu Carrick MJADALA kuhusu mustakabali wa Michael Carrick huko Manchester United unaendelea. Kiungo huyo wa zamani wa Mashetani Wekundu aliteuliwa mwezi uliopita kuchukua nafasi ya Ruben Amorim kama kocha wa...
Salah kuchukua nafasi ya Benzema Al-Ittihad BAADA ya kuachana na Karim Benzema aliyetimkia Al Hilal, sasa Al Ittihad imeonyesha nia ya kumsajili mshambuliaji wa Liverpool na timu ya taifa ya Misri, Mohamed Salah (33) katika dirisha lijalo...
Sesko alivyoiokoa Man United dakika za jioni Benjamin Sesko ameibuka shujaa wa Manchester United usiku wa jana baada ya kufunga bao la kusawazisha katika dakika za majeruhi na kuiokoa timu yake ambayo ilionekana ipo hatarini kupoteza mchezo...
Mastaa NBA walivyobadili timu usajili ukifungwa DIRISHA la mwisho la usajili wa wachezaji la 2026 lilifungwa wiki iliyopita, huku timu 27 kati ya 30 za ligi hiyo zikifanya biashara (trades) katika wiki ya mwisho. Hizi hapa baadhi ya takwimu...
Rekodi tamu ya JKT Tanzania msimu huu 2025/26 BAADA ya ushindi dhidi ya Mashujaa ikifikisha pointi 27 kwenye mechi 15 ilizocheza, JKT Tanzania imebakiza tatu za ushindi ambazo ni sawa na pointi tisa ili kufikia rekodi ya alama 36...
Bayern yajiondoa kwa Alvarez, Arsenal kicheko BAYERN Munich imeripotiwa kutokuwa na mpango wa kumsajili straika wa Atletico Madrid na timu ya taifa ya Argentina, Julian Alvarez, 26.
Mbio za ubingwa EPL… Ukijichanganya, unachanganyikiwa! MBIO za ubingwa zina kila dalili ya kuwa za kihistoria. Na jambo ambalo sasa liko wazi kabisa ni kwamba Manchester City iko tayari kupambana na Arsenal hadi hatua ya mwisho.
Virgil van Dijk amtetea Slot BEKI wa kati wa Liverpool, Virgil van Dijk amesimama kidete kumlinda kocha anayekosolewa, Arne Slot, akisisitiza licha ya msimu mgumu, Mdachi huyo anastahili kupewa nafasi ya kurejesha mwelekeo.
Rooney: Arteta? Kibarua kigumu GWIJI wa Ligi Kuu England, Wayne Rooney anaamini Mikel Arteta anaweza kufukuzwa kazi iwapo hatafanikiwa kushinda taji la Ligi Kuu England msimu huu.
Owen Hargreaves: Viungo watatu ni dawa Man United OWEN Hargreaves amesema Michael Carrick hatimaye ametatua tatizo la kiungo la Manchester United, akimsifu Bruno Fernandes kwa kiwango cha ajabu alichokiita ni cha kushtua kabisa.