Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

8677 results for Mwandishi :

  1. CHAN 2024: Faini zarindima CAF, Kenya yapewa onyo

    KAMATI ya Nidhamu la Shirikisho la Soka Afrika (CAF) imekutana kujadili masuala mbalimbali yanayohusu nidhamu katika michuano ya CHAN inayoendelea na kutoa uamuzi kadhaa dhidi ya vyama vya soka...

    FAINI Pict
  2. Solskjaer kibarua kimeota nyasi

    KOCHA, Ole Gunnar Solskjaer amefutwa kazi na klabu ya Besiktas ya Uturuki.

    OLE Pict
  3. Mourinho anapiga tu pesa kijanja

    JOSE Mourinho ameweka mfukoni mkwanja mrefu karibu Pauni 100 milioni kwa sababu moja tu ya kufutwa kazi kwenye timu anazozinoa.

  4. Kenya yalia na idadi ya mashabiki CHAN 

    SERIKALI ya Kenya imewasilisha ombi rasmi kwa Shirikisho la Soka la Afrika (CAF) likitaka idadi ya mashabiki watakaoshuhudia leo, Ijumaa mechi ya robo fainali ya michuano ya CHAN 2024 kati ya...

    KENYA Pict
  5. Sancho kufanywa chambo kwa Baleba

    WINGA Jadon Sancho huenda akatumika kama sehemu ya ofa ya Manchester United katika mchakato wao wa kuwashawishi Brighton ili kumnasa kiungo wa boli, Carlos Baleba.

    SANCHO Pict
  6. Joe Cole karata yake kwa Wirtz

    STAA wa zamani wa Liverpool, Joe Cole amesema haamini Florian Wirtz hawezi kushindwa kutamba kwenye Ligi Kuu England kwa sababu tu amesajiliwa kwa pesa nyingi kwamba itamfanya kuwa na presha.

    COLE Pict
  7. Mzee Bellingham acharuka mwanaye kutolea

    BABA wa mchezaji Jobe Bellingham ameripotiwa kumvaa bosi wa Borussia Dortmund nje ya vyumba vya kubadilishia baada ya mwanaye kutolewa wakati wa mapumziko katika moja ya mechi za timu hiyo.

    BABA Pict
  8. Arteta ashindwe mwenyewe tu

    NDOTO za miaka mingi za Kocha Mikel Arteta zimetimia baada ya Arsenal kumwandalia kikosi chenye wachezaji wawili wenye viwango bora kwenye kila nafasi, kazi anayo.

  9. Brazil yamtimua kocha baada ya kichapo, Ancelotti atajwa

    Brazil imemtimua kocha Dorival Junior, baada ya kupokea kipigo cha mabao 4-1 kutoka kwa mahasimu wao Argentina katika michuano ya kuwania kufuzu Kombe la Dunia.

  10. Dani Alves ashinda rufaa yake, afutiwa kesi ya kubaka

    BEKI wa Kibrazili, Dani Alves amefutiwa kesi ya kubaka iliyokuwa ikimkabili baada ya kushinda rufaa yake.

Previous

Page 134 of 868

Next