CHAN 2024: Faini zarindima CAF, Kenya yapewa onyo KAMATI ya Nidhamu la Shirikisho la Soka Afrika (CAF) imekutana kujadili masuala mbalimbali yanayohusu nidhamu katika michuano ya CHAN inayoendelea na kutoa uamuzi kadhaa dhidi ya vyama vya soka...
Solskjaer kibarua kimeota nyasi KOCHA, Ole Gunnar Solskjaer amefutwa kazi na klabu ya Besiktas ya Uturuki.
Mourinho anapiga tu pesa kijanja JOSE Mourinho ameweka mfukoni mkwanja mrefu karibu Pauni 100 milioni kwa sababu moja tu ya kufutwa kazi kwenye timu anazozinoa.
Kenya yalia na idadi ya mashabiki CHAN SERIKALI ya Kenya imewasilisha ombi rasmi kwa Shirikisho la Soka la Afrika (CAF) likitaka idadi ya mashabiki watakaoshuhudia leo, Ijumaa mechi ya robo fainali ya michuano ya CHAN 2024 kati ya...
Sancho kufanywa chambo kwa Baleba WINGA Jadon Sancho huenda akatumika kama sehemu ya ofa ya Manchester United katika mchakato wao wa kuwashawishi Brighton ili kumnasa kiungo wa boli, Carlos Baleba.
Joe Cole karata yake kwa Wirtz STAA wa zamani wa Liverpool, Joe Cole amesema haamini Florian Wirtz hawezi kushindwa kutamba kwenye Ligi Kuu England kwa sababu tu amesajiliwa kwa pesa nyingi kwamba itamfanya kuwa na presha.
Mzee Bellingham acharuka mwanaye kutolea BABA wa mchezaji Jobe Bellingham ameripotiwa kumvaa bosi wa Borussia Dortmund nje ya vyumba vya kubadilishia baada ya mwanaye kutolewa wakati wa mapumziko katika moja ya mechi za timu hiyo.
Arteta ashindwe mwenyewe tu NDOTO za miaka mingi za Kocha Mikel Arteta zimetimia baada ya Arsenal kumwandalia kikosi chenye wachezaji wawili wenye viwango bora kwenye kila nafasi, kazi anayo.
Brazil yamtimua kocha baada ya kichapo, Ancelotti atajwa Brazil imemtimua kocha Dorival Junior, baada ya kupokea kipigo cha mabao 4-1 kutoka kwa mahasimu wao Argentina katika michuano ya kuwania kufuzu Kombe la Dunia.
Dani Alves ashinda rufaa yake, afutiwa kesi ya kubaka BEKI wa Kibrazili, Dani Alves amefutiwa kesi ya kubaka iliyokuwa ikimkabili baada ya kushinda rufaa yake.