Vigogo kibao wanamtaka Nicolas Taarifa zinaeleza Villa inapanga kumuuza mshambuliaji wao wa kimataifa wa England, Ollie Watkins, 30, mwisho wa msimu huu, hivyo inatafuta mbadala mapema.
Iran hatarini kushiriki Kombe la Dunia 2026, FIFA yatoa tamko NCHI ya Iran huenda ikajiondoa kwenye mashindano ya Kombe la Dunia 2026 kufuatia mashambulizi ya anga ya Marekani yaliyomuua kiongozi mkuu wa nchi hiyo, Ayatollah Ali Khamenei.
Hali ya kiusalama Mashariki ya Kati yatishia mechi za Nigeria kufutwa MECHI za kimataifa za kirafiki kati ya timu ya taifa ya Nigeria maarufu Super Eagles dhidi ya Iran na Jordan zilizopangwa kuchezwa mwezi huu, huenda zikafutwa kutokana na hali mbaya ya kiusalama...
Morocco kupinga adhabu ya CAF, yaundaa kamati maalum kujadili SHIRIKISHO la Soka la Kifalme la Morocco (FRMF) limetangaza litakata rufaa kupinga hatua za kinidhamu zilizochukuliwa baada ya fainali ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON 2025).
Maandalizi Ligi ya Mabingwa Ulaya, PSG yapata ahueni Ufaransa PARIS Saint-Germain imepata faida muhimu kabla ya mechi ya mkondo wa pili hatua ya 16 bora Ligi ya Mabingwa Ulaya dhidi ya Chelsea itakayochezwa Jumanne, Machi 17, 2026, katika uwanja wa Stamford...
Morocco yashinikizwa kuwaachia waliohukumiwa AFCON 2025 MAMIA ya wananchi nchini Senegal, wameingia mitaani katika Jiji la Dakar kwa lengo la kuishinikiza Serikali ya Morocco kuwaachia huru mashabiki 18 wa soka wa nchi hiyo wanaotumikia vifungo...
Knueppel balaa jipya NBA, Curry aukubali mziki wake NDANI ya msimu wake wa kwanza tu katika NBA, chipukizi Kon Knueppel wa Charlotte ameendelea kufanya makubwa baada ya kuvunja rekodi ya idadi kubwa ya mitupo ya pointi tatu (3-pointers) iliyowekwa...
Cornel amrithi Almas Kasongo TPLB ALIYEKUWA mkurugenzi wa Fedha wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Cornel Barnabas, ameteuliwa kuwa ofisa mtendaji mkuu wa Bodi ya Ligi Tanzania (TPLB).