Mke wa kocha Man United asimuliwa alivyotimuliwa LICHA ya mafanikio makubwa akiwa na klabu kubwa Ulaya, Louis van Gaal hajawahi kuvunjwa moyo kama ilivyotokea alipokuwa kocha wa Manchester United.
Arsenal mpo? Bei ya Sesko imepanda ARSENAL italazimika kulipa zaidi kunasa saini ya straika Benjamin Sesko kwenye dirisha lijalo la uhamisho wa majira ya kiangazi baada ya RB Leipzig kuongeza dau katika kipengele kilichopo kwenye...
Arteta kicheko Havertz yupo fiti KOCHA wa Arsenal, Mikel Arteta amesema supastaa wake Kai Havertz anakaribia kurudi uwanjani kabla ya msimu kumalizika na hilo linaongeza mzuka zaidi kwenye kikosi hicho kabla ya mechi ya...
Ligi Kuu za Ulaya ni mchakamchaka MCHAKAMCHAKA wa Ligi Kuu za Ulaya unaendelea kupamba moto, kuanzia kwenye Ligi Kuu England, La Liga, Bundesliga, Serie A na Ligue 1. Ni balaa.
Alexander-Arnold kubadili upepo Liverpool BEKI kisiki wa Liverpool, Trent Alexander-Arnold ambaye anadaiwa atajiunga na Real Madrid mwisho wa msimu huu, mkataba wake utakapomalizika, huenda mambo yakabadilika na akabaki kwa mujibu wa...
Salah amwita kijanja De Bruyne Anfield KIUNGO wa Manchester City, Kevin De Bruyne ameibua uwezekano wa kujiunga na klabu nyingine ya Ligi Kuu England baada ya kuaga huko Etihad.
Jude Bellingham kuungana na Rudiger BAADA ya Antonio Rudiger kufanyiwa upasuaji wa goti, staa mwingine wa Real Madrid, Jude Bellingham yuko katika hatua za mwisho kufanyiwa upasuaji wa bega kutokana na tatizo la muda mrefu...
Desabre amkumbuka Wan-Bissaka, kuzikabili Mali na Madagascar Aliyekuwa beki wa Manchester United na sasa West Ham United, Aaron Wan-Bissaka, ameitwa rasmi kwenye kikosi cha timu ya taifa ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DR Congo) kwa ajili ya mechi...
Arteta aondolewa benchi Arsenal KOCHA wa Arsenal, Mikel Arteta hatakuwapo kwenye benchi la ufundi la timu hiyo katika mchezo wa mwisho wa Ligi Kuu England msimu huu kutokana na kutumikia adhabu ya kadi tatu za njano.
Mara paap! Vardy anakipiga La Liga STRAIKA Jamie Vardy anaripotiwa kuwekwa kwenye rada ambazo zinaweza kumpa fursa ya kwenda kukabiliana na miamba ya Hispania, Barcelona na Real Madrid kwenye LaLiga msimu ujao.