Guardiola kuwakutanisha mezani Ferguson, Wenger Kufikisha ushindi wa 250 katika Ligi Kuu England ni mafanikio makubwa yanayohitaji aina maalum ya sherehe. Kupitia hilo, Pep Guardiola amepanga kuwakutanisha Sir Alex Ferguson na Arsene Wenger...
PSV yailaza Napoli kwa mabao 6-2 PSV Eindhoven imepindua matokeo kwa kishindo na kuishangaza Napoli iliyomaliza ikiwa na wachezaji 10, kwa ushindi wa mabao 6-2 katika mechi ya Ligi ya Mabingwa Ulaya iliyochezw usiku wa Oktoba...
Liverpool yarudi katika ubora wake ikiichapa Real Madrid Liverpool imerudi katika kiwango chake cha juu ilipoitandika Real Madrid kwa mchezo wa kuvutia na kupata ushindi muhimu wa Ligi ya Mabingwa nyumbani kwenye uwanja wa Anfield usiku wa Novemba 4...
Harry Kane: Levy? Hii sio poa STRAIKA, Harry Kane amesifu kazi bora kabisa iliyofanywa na Daniel Levy kwenye kikosi cha Tottenham Hotspur baada ya bosi huyo kung'oka kwenye kikosi hicho cha London.
Szoboszlai amsubiri CR7 ampe jezi, kapewa mwingine SUPASTAA, Cristiano Ronaldo ameshindwa kubadilishana jezi na Dominik Szoboszlai baada ya mechi iliyokutanisha timu zao Ureno na Hungary kwenye mchakamchaka wa kufuzu fainali za Kombe la Dunia...
Bega la Odegaard lashtua Arsenal KOCHA wa Arsenal, Mikel Arteta anakuna kichwa kutokana na kiungo na nahodha wake, Martin Odegaard kuwa na rekodi za kuumiaumia kwa siku za karibuni.
Kane amuweka chini Haaland Bundesliga KITU ambacho ni sahihi kumwelezea straika Harry Kane ni kumwita jina la ‘mtambo wa mabao’.
Bada, Damaro ndani Singida v Kagera Sugar SAKATA la wachezaji watatu wa kigeni waliobadilisha uraia wao limechukua sura mpya baada ya wawili kati yao kuanzishwa katika kikosi cha timu ya Singida Black Stars dhidi ya Kagera Sugar.
Tajiri kaamua, wafanyakazi wengine kuliwa vichwa united TAJIRI na mmiliki mwenza wa Manchester United, Sir Jim Ratcliffe inadaiwa kuwa na hofu timu huenda ikakumbana na hali mbaya ya kiuchumi ikiwa hatochukua jukumu la kuendelea kubana matumizi.
Juve yawa shubiri kwa Luiz, Alisha UHAMISHO wa wanasoka wawili wapendanao, Douglas Luiz na Alisha Lehmann wa kutua Juventus umegeuka kuwa shubiri miezi michache tu tangu wasajiliwe kutoka Aston Villa.