Ancelotti: Neymar kurejea wiki ijayo JANA, Jumamosi usiku, Brazil ilikuwa uwanjani MetLife huko New Jersey kukabiliana na Morocco katika mechi ya kundi C la Kombe la Dunia 2026, lakini nyuma ya mchezo huo mashabiki walikuwa...
Hakimi aonyesha ujasiri kuikabili kesi ya ubakaji, atuliza presha Morocco Nahodha wa Morocco, Achraf Hakimi ameishusha presha timu yake ya taifa, saa chache kabla ya kuivaa Scotland baada ya kusema kuwa uamuzi wa mahakama ya Ufaransa kuhusu tuhuma zake za kubaka haumpi...
MAKALA MAALUM ANGUKO LA TP MAZEMBE: Mihela yamwagwa kwa mastaa -4 Katika toleo lililopita tuliona jinsi hali ilivyoanza kubadilika ndani ya klabu ya TP Mazembe lakini ghafla siasa za nchi zikaharibu mambo. Katika toleo hili tutaona kilichofuata baada ya pale.
New Stone ilivyofeli Ligi Kuu Zanzibar ILIKUWA ni saa 12:30 asubuhi, wakati ambao wananchi wa Kisiwa cha Pemba wakiendelea harakati za maisha za kujitafutia kipato, ndipo mwandishi wa Mwanaspoti anaanza safari ya kukitafuta...
Bodaboda asepa na Sh51 milioni Mkazi wa Kimara Peter Patric ameibuka kidedea akijishindia kiasi cha sh 51.1 milioni kupitia michezo ya kubashiri. Patric ambaye ni dereva wa pikipiki maarufu kwa jina la bodaboda amejishindia...
Uganda yatakata CECAFA ikiiichapa Djbouti mabao 15-0 Rasmi mashindano ya Kombe la CECAFA kwa vijana wa umri chini ya miaka 15 yameanzan kutimua vumbi leo Uwanja wa FUFA Technical Centre, Uganda. Michezo miwili ya ufunguzi imechezwa leo ni kati ya...
Wema: Sina bifu na Zari BAADA ya kuzuka majibizano ya kwenye mitandao ya kijamii baina ya Wema Sepetu na Zari ‘The Boss Lady’ Hassan, staa huyo kutoka katika kiwanda cha Bongo Movies, amesema yeye hana tatizo na mtu.
Mayele ana jambo lake, Simba nao wapo SIMBA bado ina kidonda cha kufungwa mabao 2-1 na Yanga katika mchezo wa Ngao ya Jamii, Agosti 13 lakini kana kwamba haitoshi, mabao mawili ya mshambuliaji Fiston Mayele kwenye mechi hiyo...
Buti la Burna Boy lazua balaa Eee bwana mtu wangu wa nguvu moja kati ya story inayoendelea kuleta gumzo katika mitandao ya kijamii ni ya buti alilovaa msanii kutokea Nigeria Burna Boy kwenye show yake siku ya Ijumaa huko...
Job afunika Yanga KUNA beki Yanga kwa kuangalia kimo chake ni rahisi kusema hafai kucheza nafasi ya beki wa kati lakini makocha Wazungu wamekuwa wakikomaa naye na sasa ameshtua kwa rekodi ya maana.