Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

7923 results for Mwandishi Wetu :

  1. Tudor akiri mambo magumu Spurs

    KOCHA Igor Tudor amekiri kuwa mambo yote yanaonekana kwenda vibaya Tottenham Hotspur huku shinikizo likiongezeka juu ya nafasi yake baada ya aibu waliyoipata katika mechi ya Ligi ya Mabingwa...

  2. Sancho anavyopuna pesa Man United

    JADON Sancho ameonekana kuwa kosa la gharama kubwa sana tangu aliposajiliwa na Manchester United.

  3. Iran yajitoa Kombe la Dunia 2026

    IRAN haitashiriki fainali za Kombe la Dunia 2026 kutokana na vita vinavyoendelea kati ya taifa hilo na Marekani, amesema waziri wa michezo wa nchi hiyo, Ahmad Donyamal.

  4. Eden ataja mchezaji bora aliyecheza naye

    NGULI wa Chelsea, Eden Hazard, amewashangaza wengi baada ya kuwapuuza baadhi ya mastaa wakubwa wa zamani wa klabu hiyo alipomtaja mchezaji bora zaidi waliyewahi kucheza.

  5. Miaka 14 yamtosha Kyle Walker England, atundika daluga

    Beki Kyle Walker ametangaza kustaafu rasmi kuitumikia timu ya taifa ya England baada ya kupoteza nafasi yake katika kikosi cha Meneja Thomas Tuchel miezi michache kabla ya fainali za Kombe la Dunia.

  6. Mo Dewji akomaa orodha ya mabilionea Afrika Mashariki, Motsepe apanda

    Mohammed Dewji anaendelea kuongoza katika orodha ya mabilionea wenye umri mdogo zaidi Afrika lakini pia ndiye anaongoza kwa utajiri katika Ukanda wa Afrika Mashariki na Kati.

  7. Scholes ajielezea kwa Carrick kuhusu posti yake Insta

    GWIJI wa Manchester United, Paul Scholes, amefunguka kuhusu ujumbe aliomtumia Michael Carrick baada ya chapisho lake la Instagram kuzua mjadala mkubwa wiki iliyopita.

  8. Mac Allister aikataa Madrid, kuna jambo linaendelea

    KIUNGO wa Liverpool na timu ya taifa ya Argentina, Alexis Mac Allister, 27, ana mpango wa kufanya mazungumzo na majogoo kuhusu mkataba mpya ifikapo mwisho wa msimu huu licha ya kuhusishwa na...

  9. Kane kupewa kibunda abaki zake Bayern

    STRAIKA wa England, Harry Kane anatarajiwa kupata ongezeko kubwa la mshahara baada ya kuanza mazungumzo ya mkataba mpya katika klabu yake anayochezea kwa sasa huko Ujerumani, Bayern Munich.

  10. Abramovich kukomalia pesa za mauzo ya Chelsea

    JOPO la wanasheria wa bilionea Roman Abramovich wako tayari kupambana na serikali ya Uingereza kuhusu haki ya kutumia Pauni 2.35 bilioni zilizopatikana kwenye mauzo ya Chelsea, fedha ambazo bado...

Previous

Page 119 of 793

Next