Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

3967 results for Mwandishi Wetu :

  1. Man United Vs Arsenal, mechi ipo nyie!

    LAZIMA kipigwe. Ndicho unachoweza kusema wakati mashabiki wakisubiri kwa hamu kipute cha Old Trafford, wakati Manchester United itakapoikaribisha Arsenal katika mchakamchaka wa Ligi Kuu England.

    MAN UTD Pict
  2. Luis Enrique: Anfield itatujua

    KOCHA wa Paris Saint-Germain, Luis Enrique ameionya Liverpool kwamba vijana wake watakuwa hatari zaidi uwanjani Anfield.

    LUIS Pict
  3. Sakata la Simba kugomea dabi lamuibua Muro, aitaka TPLB kufungiwa milele

    ALIYEKUWA Ofisa Habari wa Yanga, Jerry Muro amesikitishwa na kitendo cha mchezo wa Ligi Kuu Bara kati ya Yanga na Simba uliopaswa kuchezwa leo kushindwa kuchezwa, huku akiitaka Bodi ya Ligi...

    MURO Pict
  4. Real Madrid yabadilisha gia angani kwa Trent

    REAL Madrid wako tayari kuilipa Liverpool fidia ili kumchukua beki wa kulia wa timu hiyo na England, Trent Alexander-Arnold mara baada ya msimu huu kumalizika ili kumuingiza katika timu mapema na...

    TETESI Pict
  5. PRIME Kanuni zinavyoifunga Yanga, Simba

    Uamuzi huo umefikiwa kufuatia uamuzi wa Simba kugomea kucheza mechi ikidai imenyimwa haki ya kikanuni ya kufanya mazoezi katika uwanja wa mechi siku moja kabla.

  6. Buriani Doye Moke, nenda kipa wa boli

    KIFO kimeumbwa, lakini hakizoeleki. Kifo kinauma kwa vile kinatengenisha wapendanao. Na bahati mbaya ni kwamba kifo hakikwepekwi.

    MOKE Pict
  7. Jeraha la Jalen litakavyobadili maisha Knicks

    NYOTA wa New York Knicks, Jalen Brunson anatarajiwa kukaa nje kwa wiki kadhaa baada ya kuumia kifundo cha mguu wakati wa muda wa nyongeza kwenye mchezo wa Ligi ya Kikapu Marekani (NBA) dhidi ya...

    NBA Pict
  8. Simba wakishikilia msimamo wao, Bodi ya Ligi itaweza kuwapoka alama 15?

    Kanuni ya 31 ya Ligi Kuu msimu wa 2024/25 yenye vipengele saba na vidogo viwili, inasema: Timu yoyote itakayokosa kufika uwanjani bila sababu za msingi zinazokubalika na TFF/TPLB, na/au...

  9. PRIME Kukimbiana Simba, Yanga na utamu wake

    KLABU ya Simba imetoa taarifa rasmi kwamba haitashiriki kwenye mchezo wa watani wa jadi uliopangwa kufanyika leo, Machi 8, 2025. Hii ni kwa sababu walishindwa kufanya mazoezi ya mwisho kuelekea...

    KUKIMBIANA Pict
  10. NYEPESI NYEPESI ZA DABI: Yanga, Simba hadi Pan na Red Stars

    NDIVYO ukweli ulivyo. Yanga ina kila sababu ya kujiita Baba Lao katika soka la Tanzania, kwani unaambiwa, licha ya kusumbuana kwa sasa na Simba katika ubingwa wa Ligi Kuu, lakini klabu hiyo ndio...

    PAN Pict
Previous

Page 115 of 397

Next