Winga Mzambia atoka hospitali baada ya kuzirai uwanjani Winga wa Zambia, Lameck Banda, amerejea nyumbani salama baada ya kupata tatizo la moyo wakati wa mechi ya Serie A kati ya Lecce na Napoli.
Usiku wa maamuzi UCL, Arsenal, Man City, Chelsea vitani Macho na masikio ya mashabiki wa soka yako leo Jumanne usiku na zitapigwa mechi nne za hatua ya 16 bora ya Ligi ya Mabingwa Ulaya, zikitarajiwa kuwa na ushindani mkubwa kati ya miamba nane...
Nje ya soka fani zao zingine ni hizi! UNAWAJUA vyema uwanjani. Unaijua kazi yao wanaposakata soka wakiwa katika jezi za timu kubwa duniani Ulaya. Unawafahamu kwa majina na wakati mwingine unavaa jezi zenye majina na namba wanazovaa...
Mechi ya Argentina, Hispania yafutwa MSIMAMO wa Lionel Messi kuhusu kufutwa kwa mechi ya Finalissima umeibua mjadala mkubwa miongoni mwa mashabiki wa soka Hispania na Argentina.
Carrick awaonya mastaa kuhusu UEFA KOCHA wa mpito wa Manchester United, Michael Carrick amewaonya mapema mastaa wake wasitegemee nafasi ya tano kwenye msimamo wa Ligi Kuu England inatosha kufuzu michuano ya Ligi ya Mabingwa Ulaya...
PRIYANKA CHOPRA: Bollywood hadi Hollywood kusaka mkwanja, umaarufu INA la Priyanka Chopra limeendelea kuvutia vichwa vya habari kutokana na mafanikio yake makubwa katika filamu, muziki, televisheni na biashara.
Kisa mwamuzi, kocha Chelsea achefukwa KOCHA wa Chelsea, Liam Rosenior amemlaumu mwamuzi Paul Tierney kutokana na kitendo cha ajabu alichoonyesha cha kuingilia majadiliano ya wachezaji wake kabla ya mechi dhidi ya Newcastle United.
Gavi amerudi mzigoni KOCHA wa FC Barcelona, Hansi Flick amesema kiungo wake Gavi yuko tayari kurejea uwanjani baada ya kukaa nje kwa muda mrefu kutokana na majeraha.
Nyota Scotland ataka Wirtz apigwe bei NYOTA wa zamani wa Scotland, Craig Burley, ameishauri Liverpool kufikiria kumuuza kiungo mshambuliaji Florian Wirtz kutokana mwanzo mgumu wa maisha yake katika Uwanja wa Anfield.