Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

7921 results for Mwandishi Wetu :

  1. Ushawishi wa Faouzi CAF wazua hofu sakata la AFCON 2025

    Gazeti maarufu la Ufaransa, L'Équipe limeibua mjadala mzito barani Afrika baada ya kuripoti kuwa ushawishi mkubwa wa Faouzi Lekjaa ndani ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) unazua hofu...

  2. Kenya hatarini kupoteza uenyeji AFCON 2027

    Kenya iko katika hatari ya kupoteza haki ya kuwa mwenyeji mwenza wa fainali za Africa Cup of Nations (AFCON) 2027 baada ya kushindwa kuwasilisha ada ya uenyeji inayokadiriwa kufikia Sh trilioni...

  3. Ishu ya uwanja mpya Man United ni hivi

    ULE mpango wa ujenzi wa uwanja mpya wa klabu ya Manchester United umechukua sura mpya na inaelezwa kinachosubiriwa kwa sasa ni uwasilishwaji wa maombi ya mchoro wa mwisho serikalini kwa ajili ya...

  4. Rosenior apewa mtego Chelsea

    KOCHA wa Chelsea, Liam Rosenior ni kama anategwa na mabosi wa timu hiyo ambao licha ya kumjadili na kuamua aendelee na timu hadi mwisho wa msimu, lakini inaelezwa akifuzu tu huenda akasakwa kocha...

  5. Guardiola kuamua hatma yake Jumapili Carabao Cup

    KOCHA wa Manchester City, Pep Guardiola atafanya uamuzi kuhusu mustakabali wake baada ya fainali ya Kombe la Carabao dhidi ya Arsenal, Jumapili ya wiki hii.

  6. Watanzania watawala Yas Kili International Half Marathon 2026

    huu tunapanda zaidi ya miti 50,000, na jana pekee tuliotesha miche 3,000 katika eneo la Njoro. Huu ni mchango wetu katika kuhakikisha Kilimanjaro inabaki kuwa alama ya fahari ya taifa...

    LEO Pict
  7. Kombe la Dunia 2026, ombi la Iran lawekwa 'kapuni'

    Shirikisho la Soka Ulimwenguni (FIFA) limepiga chini ombi la Iran la kutaka kucheza mechi zake za Kombe la Dunia 2026 nchini Mexico badala ya maeneo yaliyopangwa awali.

  8. Mwamuzi CAS asema Senegal ni mabingwa halali AFCON 2025

    Aliyekuwa mwamuzi wa Mahakama ya Usuluhishi wa Michezo (CAS), Raymond Hack, ameibuka na kauli nzito inayoweza kubadilisha mwelekeo wa mgogoro wa ubingwa wa Kombe la Mataifa ya Afrika 2025...

  9. Barcelona yanogewa na Rashford, kuurefusha mkopo wake

    BARCELONA inapanga kumbakisha mshambuliaji wa kimataifa wa England, Marcus Rashford, 28, kwa mkopo wa msimu mwingine, baada ya huu wa sasa kumalizika, huku ikielezwa ni katika kuepuka kumnunua...

  10. Mgogoro wa AFCON 2025, magwiji wa soka waishambulia CAF 

    UAMUZI wa Shirikisho la Soka Afrika (CAF) kuinyang’anya Senegal ubingwa wa AFCON 2025 na kuikabidhi Morocco, umeibua mjadala mkubwa, huku magwiji wa soka duniani wakitoa maoni kinzani kuhusu...

Previous

Page 112 of 793

Next