Van Dijk atuliza joto Liverpool BEKI wa kati wa Liverpool, Virgil van Dijk amemtaka straika Darwin Nunez na wachezaji wenzake wa kikosi hicho cha Anfield wasikate tamaa baada ya kutupwa nje ya mikikimikiki ya Ligi ya Mabingwa...
Haya Arteta apigwa kombora NAHODHA wa zamani wa Arsenal, William Gallas amemtolea uvivu kocha wa sasa wa miamba hiyo ya Emirates, Mikel Arteta kwamba Mhispaniola huyo si kocha wa viwango vya juu.
Balaa la uwanja mpya, usajili mpya ni utata, mataji kuyeyuka MANCHESTER United imekiri kwamba inajiweka kwenye hatari ya kukosa ubingwa kwa miaka mingine mitano kutokana na kuwekeza pesa nyingi, Pauni 2 bilioni kwenye mradi wa ujenzi wa uwanja mpya.
Zamalek yapewa pointi 3 Ahly ikigoma kutokea uwanjani ZAMALEK imepewa ushindi wa mezani wa pointi tatu na mabao 3-0 baada ya wapinzani wao na mahasimu wakubwa, Al Ahly kushindwa kutokea uwanjani katika mchezo wa Ligi Kuu ya Misri uliotarajiwa...
Arsenal kutimua watu ilete wapya NDO hivyo. Maandalizi ya msimu wa 2025/26 kwa Arsenal yameshaanza, ambapo kuna mastaa kadhaa watafunguliwa mlango ili kuleta vyuma vipya.
Real Madrid kumnunua Trent fasta REAL Madrid ipo tayari kuilipa Liverpool mkwanja kumnasa Trent Alexander-Arnold kabla ya kufanyika kwa michuano ya Kombe la Dunia la Klabu, Juni mwaka huu.
Lazima kieleweke usiku wa Ulaya KIVUMBI na jasho. Ndicho unachoweza kusema kuhusu kipute cha Ligi ya Mabingwa Ulaya hatua ya mtoano kitakachopigwa usiku wa leo Jumatano, huku wengi wakisikilizia kitakachokwenda kutokea Wanda...
Pogba ruksa kukipiga tena JUMANNE, Machi 11 ilikuwa siku ya mwisho kwa kiungo Mfaransa Paul Pogba kutumikia adhabu ya kufungiwa soka na sasa, mkali huyo wa zamani wa Manchester United na Juventus yupo huru kukipiga tena...
VIDEO: Maajabu! Uwanja mpya Man United kuingiza watu 100,000 HII ni kufuru. Manchester United itajenga uwanja mpya wenye uwezo wa kuingiza mashabiki 100,000 wanaoketi, imeelezwa.
Paul Pogba kucheza ni Inter Miami, Uarabuni PAUL Pogba ambaye adhabu yake ya kifungo cha kutocheza soka kinamalizika wiki hii, hadi sada bado hajafanya uamuzi wa wapi anaweza kusaini licha ya kupokea ofa kibao kutoka timu mbalimbali.