JKT Queens yaivua Simba Queens ubingwa WPL JKT Queens imefanikiwa kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu Soka Wanawake (WPL) msimu huu wa 2024/2025 baada ya leo Mei 20,2025 kuibuka na ushindi wa mabao 5-0 dhidi ya Gets Program.
Cunha mambo freshi Manchester United MSHAMBULIAJI wa Wolvelvehamton Wolverhampton Wanderers na timu ya taifa ya Brazil, Matheus Cunha huenda akajiunga na Manchester United baada ya msimu huu kumalizika.
Mastaa wa kuokota Ligi Kuu England KLABU za Ligi Kuu England zitakuwa bize kwenye dirisha lijalo la uhamisho wa majira ya kiangazi, huku kukitarajiwa kuwapo na dili kibao za wachezaji wa bei chee.
Mastaa wa Man United washona suti za ubingwa WEITA ongeza glasi. Ndivyo shangwe litakavyokuwa kwa mashabiki wa timu ambayo itakuwa imeshinda kati ya Manchester United na Tottenham Hotspur zitakazokutana kwenye fainali ya Europa League usiku...
Mstaafu Fury aachia video ikiacha utata TYSON Fury bado anaendelea kuweka mwili wake fiti huku mashabiki wa ngumi wakisubiri kwa hamu kurejea kwake ulingoni.
PRIME Mshahara mpya wa Azizi Ki kufuru tupu DILI la kiungo mshambuliaji wa Yanga, Stephane Aziz KI, kwenda Wydad Casablanca ya Morocco, limezidi kuutunisha mfuko wake kutokana na kile ambacho atakuwa akilipwa kwa mwezi.
Simba yataja mambo matatu fainali kupigwa Zanzibar Simba imetamba kuwa haina hofu yoyote kucheza mechi katika Uwanja wa New Amaan Complex, Zanzibar ikiwa ni siku moja baada ya kuwatangazia mashabiki wake kuwa mechi yake ya fainali ya Kombe la...
Kete ya mwisho WPL leo, matokeo kuamua bingwa MZUNGUKO wa mwisho wa Ligi Kuu ya Wanawake (WPL) msimu wa 2024-2025 unahitimishwa leo Mei 20, 2025 kwa mechi tano kuchezwa huku Mlandizi Queens na Gets Program zikiwa tayari zimeshuka daraja.
Lamine Yamal anavyofukuzia rekodi ya kipekee Ballon d’Or FUNDI wa boli na kinda wa Barcelona, Lamine Yamal amekuwa akitajwa kama mmoja wa wachezaji wanaopewa nafasi kubwa ya kushinda tuzo ya Ballon d’Or mwaka huu wa 2025.
Tajiri Man United amtega Amorim MMILIKI mwenza wa Manchester United, bilionea Sir Jim Ratcliffe yupo tayari kumpatia kila kitu kocha Ruben Amorim ili kuibadili timu hiyo lakini anachotaka ni uhakika kwamba Mreno huyo anabaki.