Mastaa Waafrika LaLiga kuwania tuzo Afrika LIGI Kuu Hispania (LaLiga) imetangaza orodha ya wachezaji walioteuliwa kuwania tuzo ya Sporty LaLiga MVP 2025/26, inayotambua mchezaji bora kutoka Afrika eneo la Kusini mwa Jangwa la Sahara...
Dabi Madrid ilivyoisha na utamu, machungu SHANGWE zilirejea kwa Vinicius Junior katika Uwanja wa Santiago Bernabeu baada ya mshambuliaji huyo wa Real Madrid kufunga mabao mawili katika ushindi wa 3-2 dhidi ya Atletico Madrid, juzi...
Bruno Guimaraes hataki kwenda popote INAELEZWA kiungo wa Newcastle United, Bruno Guimaraes, 28, hafikirii hata kidogo kuondoka katika klabu hiyo kwa sasa na yupo tayari kuanza mazungumzo ya kusaini mkataba mpya utakaomwezesha...
Kroenke: Tajiri kijana anayeipambania Arsenal MWISHONI mwa wiki iliyopita jina la Josh Kroenke lilikuwa gumzo miongoni mwa mashabiki wa michezo baada ya kuripotiwa kuwasili London kwa ajili ya kuweka kikao na kocha Mikel Arteta kuhusu...
Kocha Chelsea awakingia kifua mastaa KOCHA wa Chelsea, Liam Rosenior amekanusha vikali madai kwamba wachezaji wa klabu hiyo hawajitoi vya kutosha baada ya kipigo cha mabao 3-0 ugenini dhidi ya Everton.
Mason Greenwood kuipa United mkwanja mzito STAA wa Marseille Mason Greenwood anatarajiwa kuipa Manchester United kiasi kikubwa cha pesa ikiwa atafanikisha dili lake la kujiunga na Juventus katika dirisha lijalo.
Liverpool yateseka, Arne Slot akiri ugumu KOCHA wa Liverpool, Arne Slot amesema yanayoendelea katika timu yake kwa msimu huu yanamuumiza sana kwani ni tofauti kabisa na matarajio yao.
Arsenal, Man City waweka historia fainali Carabao Cup ARSENAL na Manchester City tayari zilikuwa zimeweka historia katika michuano ya Carabao kabla hata ya fainali ya Jumapili iliyopigwa kwenye dimba la Wembley.
Man City yaituliza Arsenal, yatwaa ubingwa wa 9 Carabao Cup Manchester City imeendeleza ubabe wake katika michuano ya Carabao Cup (EFL) baada ya kuibuka na ushindi mnono wa mabao 2-0 dhidi ya Arsenal.
Simba yapanda nafasi ya pili ikiichapa TRA United Klabu ya Simba imeibuka na ushindi wa mabao 3-0 katika mchezo wa Ligi Kuu Bara ambapo timu hiyo sasa imesogea hadi nafasi ya pili katika msimamo wa ligi ikifikisha pointi 31 ikiishusha Azam FC...