Mayweather vs Pacquiao… Sa’ itakuwaje? KATIKA historia ndefu ya michezo ya ngumi, kumekuwa na mapambano mengi yaliyovutia hisia za mashabiki lakini ni machache ambayo yamefikia kiwango cha kuwa matukio makubwa ya kimataifa...
Enzo kuondoka Chelsea, Real Madrid ikichomoza KIUNGO wa Chelsea na timu ya taifa ya Argentina, Enzo Fernandez anahusishwa kujiunga na Real Madrid baada ya fainali za Kombe la Dunia 2026.
Simu yamponza Depay, mwenyewe afafanua STRAIKA wa Corinthians ya Brazil, Memphis Depay amelazimika kutoa ufafanuzi baada ya kuonekana akitumia simu akiwa benchi baada ya kuambiwa aache kufanya hivyo.
Antoine Griezmann kumfuata Messi MLS MSHAMBULIAJI wa kimataifa wa Ufaransa, Antoine Griezmann anatarajiwa kuwa “mpinzani” wa Lionel Messi tena katika Ligi kuu Marekani (Major League Soccer - MLS), jambo linalofufua kumbukumbu za...
Jurgen Klopp akanusha uvumi wa kuinoa Real Madrid KOCHA wa zamani wa Liverpool, Jurgen Klopp amekanusha taarifa za kurejea kufundisha soka zinazomhusisha na Real Madrid, “hazina ukweli wowote.”
Majanga! Majeruhi sita Arsenal wazua hofu BEKI wa Arsenal, Gabriel Magalhaes ameungana na nyota wengine watano wa kikosi hicho waliotemwa na timu zao za taifa kwa kuhofiwa kuwa majeruhi.
Davies atajwa kutua Manchester United MANCHESTER United imeonyesha nia ya kutaka kumsajili beki wa kushoto wa kimataifa wa Canada, Alphonso Davies, 25, kutoka Bayern Munich katika dirisha lijalo la usajili wa majira ya kiangazi.
Spurs dah! Chelsea, Liverpool hazichekani HAKUNA namna zaidi ya kupigana hadi tone la mwisho. Ndiyo, Spurs ili isalie Ligi Kuu England msimu ujao, ina kazi ya kufanya kuhakikisha inashinda mechi zake zilizosalia kwa asilimia kubwa ili...
FIFA U17 ilivyoleta vyuma vilivyotikisa UNAPOANGALIA baadhi ya wachezaji waliowahi kuonyesha vipaji kwenye Kombe la Dunia, huwezi kuviweka kando vipaji vilivyoibukia katika nchi kadhaa kwenye mabara tofauti duniani.