Mastaa wanne hali mbaya Man United MASTAA wa Manchester United, Alejandro Garnacho, Antony, Jadon Sancho na Tyrell Malacia bado wapo bayana baada ya kutakiwa kutowasogelea kabisa mastaa wengine wa kikosi cha kwanza cha miamba hiyo...
Sikia hii ya Xavi Simons STAA anayesakwa na Chelsea, Xavi Simons amefuta maneno yote yanayotaja RB Leipzig kwenye wasifu wake wa kurasa zake za mtandaoni.
Gyokeres kupewa namba ya Henry ARSENAL imekubali rasmi kumsajili straika Viktor Gyokeres kutoka Sporting Lisbon na kumkabidhi staa huyo jezi iliyokuwa ikivaliwa na gwiji Thierry Henry.
Paqueta msafi ishu ya kubeti KIUNGO wa boli, Lucas Paqueta anatarajiwa kusafishwa kwenye sakata la tuhuma za kubeti zilizokuwa zikimkabili, imeripotiwa.
England yachukua Euro kibabe ikilipa kisasi kwa Hispania Timu ya Taifa ya Wanawake ya England imeendelea kuonyesha ubabe wake Ulaya baada ya kubeba taji la mashindano ya Ulaya kwa Wanawake kwa mara ya pili mfululizo.
Duh! Guardiola ashtua watu KOCHA Pep Guardiola amewaduwaza mashabiki wa Ligi Kuu England baada ya kuibuka na mwonekano mpya kabisa katika kuelekea msimu ujao.
James Maddison nje wiki kibao Spurs KIUNGO mchezeshaji wa Tottenham Hotspur, James Maddison atakosa sehemu kubwa ya msimu baada ya kupata maumivu makubwa ya goti.
Haaland aweka rekodi nyingine STAA wa Manchester City, Erling Haaland amekuwa mchezaji wa kwanza katika historia ya Ligi Kuu England, kuhusika katika mabao 100 ikiwa pamoja na kufunga na kutoa asisti kabla ya kufikisha mechi...
Lazima kieleweke usiku wa Ulaya KIVUMBI na jasho. Ndicho unachoweza kusema kuhusu kipute cha Ligi ya Mabingwa Ulaya hatua ya mtoano kitakachopigwa usiku wa leo Jumatano, huku wengi wakisikilizia kitakachokwenda kutokea Wanda...
Eddie Howe kulamba mkwanja mrefu KOCHA Eddie Howe anajiandaa kupata ongezeko la asilimia 50 la mshahara wake endapo kama Newcastle United itakamatia tiketi ya kucheza Ligi ya Mabingwa Ulaya msimu ujao baada ya kushinda taji la...