Fundi wa danadana Hadhara afariki, azikwa usiku huu FUNDI wa danadana, mwanadada Hadhara Charles ambaye mwili wake umekutwa umefia chumbani tangu siku tatu zilizopita unazikwa usiku huu nyumbani kwake Chanika jijini Dar es Salaam.
PRIME Dalali abaini jambo Simba, Yanga MWENYEKITI wa zamani wa Simba, Hassan Dalali ‘Field Marshal’ amesema amezifuatilia kwa karibu Simba na Yanga katika michuano ya kimataifa ya CAF na kushtukia jambo ambalo kama klabu hizo...
Mpole ashtuka, aanza kujifua mapema MSHAMBULIAJI wa zamani wa Geita Gold, FC Lupopo ya DR Congo na Pamba Jiji, George Mpole, aliye nje ya uwanja tangu dirisha dogo la usajili lilipofungwa Januari mwaka huu, ameshtuka na kuanza...
Kisa Mbeya City, Prisons yajipanga upyaa KUREJEA tena kwa Mbeya City katika Ligi Kuu Bara, kumeizindua Tanzania Prisons kuanza mipango mapema ya kujipanga ikitaka kusajili kikosi imara kitakachotengeneza ushindani wa kuwania nafasi za...
PRIME Dau nono kumchomoa Mukwala Simba SC WAKATI Kaizer Chiefs ya Afrika Kusini ikiendelea na mazungumzo ya kuhitaji huduma ya mshambuliaji wa Simba, Steven Mukwala, inaelezwa RS Berkane imeingilia kati dili hilo kwa kuweka dau nono ili...
Matei: Mwamba Prisons aliyeinusuru isishuke JAPOKUWA katibu wa Tanzania Prisons, John Matei hakuanza kufanya majukumu hayo mwanzoni mwa msimu huu 2024/25, mchango wake umekuwa mkubwa kwa wachezaji kutokana na uzoefu wake wa kukichezea...
MUKASA: Kuna Mpanzu, halafu Pacome... Kuhusu wimbo wa Mimina ilikuwa hivi MTUNZI mbobevu wa nyimbo za dini na taasisi mbalimbali nchini, Bernard Mukasa amezungumzia muziki kwa jumla ili uweze kupokelewa katika jamii vipo vitu vingi vya kuzingatia.
Mtibwa Sugar yajipanga kumrejesha Kawemba BAADA ya Mtibwa Sugar kurejea Ligi Kuu Bara, mabingwa hao wa zamani wako katika mazungumzo ya kumhitaji Saad Kawemba ashike nafasi ya Mtendaji Mkuu wa klabu ikiamini uzoefu wake utakuwa msaada...
PRIME Yanga yaanza mkakati mpya YANGA inaendelea kujifua kwa ajili ya mechi tatu za kufungia msimu zikiwamo mbili za Ligi Kuu Bara na moja ya Kombe la Shirikisho, huku ikiipoteza Dabi ya Kariakoo lakini mabosi wa klabu hiyo...
PRIME Nabi hajakata tamaa, atua tena Simba Mambo ni moto! Siku chache baada ya nyota wa kimataifa wa Burkina Faso na Yanga, Stephanie Aziz KI kusajiliwa na Wydad Casablanca ya Morocco ni kama amefungua milango kwa mastaa wa Ligi Kuu Bara...