Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

1868 results for Charity James :

  1. JKT yachemsha Bara, ila kazi ipo huku

    MAAFANDE wa JKT Tanzania kupitia kocha mkuu, Ahmad Ally wamekiri wamechemsha kwa kushindwa kufikia malengo ya Ligi Kuu ya kumaliza ndani ya 5-Bora, lakini kilichobaki kwa sasa wanaelekeza nguvu...

    JKT Pict
  2. Tiketi ya CAF yampa presha kocha Azam FC

    KOCHA Mkuu wa Azam FC, Rachid Taoussi amesema matokeo mabaya iliyopata timu hiyo katika mechi za hivi karibuni za Ligi Kuu Bara ni moja ya sababu za kuwarejesha haraka kambini wachezaji ili...

    KOCHA AZAM Pict
  3. Dakika 180 zampa faraja David Ouma

    BAADA ya kucheza dakika 180 dhidi ya Fountain Gate katika mechi mbili za kirafiki, kocha mkuu wa Singida Black Stars, David Ouma amesema ataendelea kusaka mechi zaidi kujiweka tayari kuikabili...

    OUMA Pict
  4. Kipigo cha 5-1 chamzindua Minziro

    KIPIGO cha mabao 5-1 ilichopewa Pamba Jiji kutoka kwa Simba, kimemfanya kocha wa timu hiyo, Fred Felix ‘Minziro’ kuzinduka na kutambua ana kibarua kizito cha kupambana hili kuiokoa timu hiyo kwa...

    MINZIRO Pict
  5. Beki JKT Tanzania anogewa na vigogo

    BAADA ya kucheza mechi mbili dhidi ya Simba na Yanga, beki wa JKT Tanzania, Karim Bakiri amesema timu hizo kongwe zina nyota wengi bora ambao wanaufanya mpira kuwa mwepesi wakikutana nazo tofauti...

    BEKI Pict
  6. Yassin: Mzize kaachiwa mikoba na Mayele

    “LIGI yetu (Kuu Bara) inakua msimu hadi msimu. Inatufanya tukutane na nyota wenye vipaji vikubwa na wanakuja na kutuacha, lakini uondokaji wao umekuwa ukiitangaza Tanzania kwa ubora.

  7. Mgunda aanza mipango mapema

    KOCHA mkuu wa Namungo, Juma Mgunda ameipiga mkwara Yanga watakayokutana nayo Jumanne ijayo kwenye Uwanja wa KMC, Dar es Salaam akisema ameanza kusuka mipango kuhakikisha wanapata ushindi kwa mara...

  8. Ngoma ayatolea macho makombe matatu Simba

    BAADA ya kuipa pointi tatu Simba kwenye mchezo dhidi ya JKT Tanzania, kiungo Fabrice Ngoma amesema ubora anaouonesha ni kuhakisha timu hiyo inatwaa mataji yote matatu wanayoshiriki.

  9. Fadlu ashtukia mchongo, apanga upya silaha zake

    KOCHA Mkuu wa Simba, Fadlu Davis amesema anafanya mabadiliko ya kikosi chake kutokana na ugumu wa ratiba na ataendelea kufanya hivyo kwa kuwapa mapumziko ya kutosha nyota wake ili kufikia malengo.

  10. Simba yaichapa JKT Tanzania, yatanguliza mguu mmoja Ligi ya Mabingwa 

    BAO la kiungo Fabrice Ngoma alilofunga katika dakika za nyongeza kipindi cha kwanza, limetosha kuipa Simba ushindi wa 0-1 dhidi ya JK Tanzania na kujihakikishia nafasi kubwa ya kushiriki michuano...

    SIMBA Pict
Previous

Page 2 of 187

Next