Prisons: Fountain? Hawa mbona tunao! MATOKEO ya sare ya 1-1 dhidi ya Fountain Gate katika mechi ya kwanza ya mtoano (play off) kuwania kubaki Ligi Kuu imewapa mzuka mabosi wa Tanzania Prisons waliodai mechi haijaisha hiyo na...
Ntibonela Bukeng aongoza tena kutupia BDL NYOTA wa kikapu wa Savio, Mkongomani Ntibonela Bukeng anaendelea kuongoza kwa ufungaji katika Ligi ya Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam (BDL), akiwa keshatupia nyavuni pointi 213.
Messi ashindwa kutamba kwa Al Ahly Kombe la Dunia la Klabu Inter Miami ya Lionel Messi wa imelazimishwa suluhu na Al Ahly ya Misri katika michuano ya Kombe la Dunia la Klabu.
Wakongwe waliotisha klabu bingwa ya Dunia SIKU zinazidi kukatika kabla ya kuanza kwa michuano ya Kombe la Dunia la Klabu linalotarajiwa kupigwa huko Marekani, Juni 15 mwaka huu.
Wimbo wa Oscar Oscar marufuku kupigwa maeneo haya Mtangazaji na msanii mpya wa Hiphop nchini, Oscar Oscar leo Mei 22, 2025, ameitikia wito katika ofisi za Baraza la Sanaa la Taifa (Basata) ambapo aliitwaa baada ya kuachia wimbo wake...
PRIME Kilichofanya Oscar Oscar aingie kwenye muziki Hatimaye mtangazaji Oscar Oscar ameingia rasmi kwenye tasnia ya muziki wa Hip-Hop. Huku akidai kilichofanya ajitose ni muziki huo kupoteza ladha.
Pep Guardiola atishia kung’atuka Man City PEP Guardiola ameonya ataondoka Manchester City iwapo klabu hiyo haitapunguza idadi ya wachezaji kipindi cha majira ya joto.
Mtibwa ilivyoduwaza, vita mpya imeanza Champioship LIGI ya Championship imefikia tamati kwa msimu wa 2024-2025 baada ya kivumbi cha jasho na damu kuvuja kwa wachezaji wa timu 16, zilizokuwa zinapigania nafasi mbalimbali hususani ile ya lengo mama...
Hukumu ya mwisho Championship LIGI ya Championship kwa msimu wa 2024-2025, inafikia tamati leo kwa mechi nane kupigwa kwenye viwanja mbalimbali, huku macho na masikio yakielekezwa katika vita ya timu zinazoshuka moja kwa moja...
PRIME NONDO ZA LEJENDI: Mambo matatu yaliyojificha soka la Bongo KUNA hatua nyingi zimepigwa ki ushindani kwa soka letu kulinganisha na nyakati zilizopita. Inawezekana zisionekane mbele ya watu wengi kutegemea kipimo kinachotumika kwani hata mtu ili awe mrefu...