Search

181 results for Mustafa Mtupa :

  1. PRIME Bolly Collins bondia aliyepofuka macho kwa ngumi, akaamua kujiua

    ILIKUWA Juni 16, 1983 katika ukumbi wa Madison Square Garden jijini New York, Marekani, Billy Collins Jr akiwa na baba yake aliyekuwa bondia wa zamani, Collins Sr walikuwa ukumbini tayari kwa...

    New Content Item (1)
  2. Moto ulivyowaka kwenye dabi zilizopigwa wikiendi

    ACHANA na kipute cha Yanga na Simba cha Kariakoo dabi kilichopigwa kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, Jumamosi iliyopita, dunia ya wapenda soka ilishuhudia dabi za kutosha kwa wikiendi...

  3. CAF yaomba radhi baada ya Berkane kususia mechi

    Shirikisho la Soka Afrika (CAF) limeomba radhi wadau wa soka baada ya mechi ya kwanza ya nusu fainali ya mashindano ya Kombe la Shirikisho kutofanyika baada ya klabu ya RS Berkane kugoma kucheza...

  4. Ni fainali ya 'Manchester Derby' kombe la FA

    LONDON, ENGLAND. BAADA ya kushinda kwa penalti mchezo wa nusu fainali ya Kombe la FA dhidi ya Converty City, rasmi sasa Manchester United itakutana na Man City kwenye fainali ya michuano...

  5. Yanga, Simba kutangulia dabi nyingine tano duniani wikiendi hii

    Wikiendi hii kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, jijini Dar es Salaam kutakuwa na Dabi ya Kariakoo, ikiwa ni dabi ya tano Afrika kwa ukubwa, macho na masikio ya kundi kubwa la mashabiki wapenda soka...

  6. Man City, Arsenal kama Yanga, Simba

    LONDON, ENGLAND. Robo fainali ndipo palikuwa mwisho wa safari kwa miamba ya soka ya Tanzania, Yanga na Simba kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika msimu huu. Tanzania iliingiza timu mbili kwenye hatua...

  7. Mwamuzi ang'atwa na nyoka uwanjani, taharuki yazuka

    Picha za video zilimuonyesha mwamuzi, Aleksandar Gorcic, akiwa mtulivu wakati nyoka huyo akiwa anatembea na alimvizia kwa makini kisha akaenda kumshika na kumtupa nje ya uwanja. Wakati anamshika...

  8. Madrid yashikilia hatma ya Hispania, Arsenal ndo hivyo

    Arsenal ambayo imerudi katika hatua hii kwa mara ya kwanza tangu msimu wa 2009-10, itakuwa na kazi ya kufuzu nusu fainali yao ya kwanza tangu mwaka 2006.

  9. Simba ipo hatarini kama hawa

    Mambo yanaonekana kuwa magumu kwa Simba. Msimamo wa Ligi Kuu Bara unaonyesha ipo nafasi ya tatu kwa pointi 46 ilizokusanya katika mechi 20.

  10. Dereva wa Kalaba alikuwa mke wa rafiki yake

    SIKU moja baada ya ajali mbaya ya gari aliyoipata mchezaji wa zamani wa TP Mazembe na timu ya taifa ya Zambia, Rainford Kalaba, inadaiwa mwanamke aliyekuwa naye wakati ajali hiyo inatokea...

Page 1 of 19

Next