Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

144 results for DK. SHITA SAMWEL :

  1. Fainali ya Chelsea v PSG... Sababu ya Cooling Break ni hizi

    USIKU wa Jumapili iliyopita, klabu ya Chelsea ilitwaa ubingwa wa Fainali za Kombe la Dunia la Klabu (CWC) 2025 baada ya kuifunga PSG kwa mabao 3-0 katika mechi kali iliyopigwa kwenye Uwanja wa...

  2. Sababu ya kipimo cha DNA ajali ya Diogo Jota

    WIKI mbili zilizopita tasnia ya soka ilipata pigo la ghafla kutokana na taarifa ya kushtua ya kifo cha nyota wa klabu ya Liverpool ya England, Diogo Jota aliyefariki dunia kwa ajali ya gari.

    DNA Pict
  3. Nyuma ya pazia jeraha, upasuaji wa Musiala

    JUMAMOSI iliyopita katika robo fainali ya Kombe la Dunia la Klabu ilikuwa mbaya kwa mshambuliaji wa Bayern Munich, Jamal Musiala baada ya kupata majeraha mabaya ya mguu. Aliumia mwishoni mwa...

  4. Wanakula maisha, kazi na dawa

    WADAU wa soka kimataifa hivi sasa mpango mzima ni kutazama mechi za fainali za Kombe la Dunia la Klabu 2025 zilizopo katika hatua ya robo fainali baada ya kumalizika kwa 16 Bora.

    BATA Pict
  5. Dabi na madhara ya kiafya kwa mashabiki

    SOKA ni mchezo maarufu duniani wenye mamilioni ya mashabiki waliobeba hisia kali katika kushabikia timu zao hasa katika zile mechi kali maarufu kama derby zinazokutanisha wapinzani wa jadi.

    DOKTA Pict
  6. Tahadhari ukimbiaji pembezoni mwa barabara

    UFANYAJI mazoezi mepesi ya kukimbia katika barabara za huduma au pembezoni ni maeneo ambayo watu hupenda kuyatumia kufanya mazoezi ya ukimbiaji mwepesi.

    DOKTA Pict
  7. Ronaldo anafanya hivi mapumzikoni akijiuguza

    USIKU wa Jumapili, Cristiano Ronaldo ‘CR7’ aliiongoza Ureno kunyanyua taji la Ligi ya Mataifa Ulaya 2025 baada ya kuifunga Hispania kwa mikwaju ya penalti 5-4 jijini Munich, Ujerumani.

    DOKTA Pict
  8. Motisha kwa wachezaji husaidia saikolojia ya mafanikio ya klabu

    USIKU wa Jumamosi iliyopita, PSG ya Ufaransa ilitwaa ubingwa wa Ligi ya Mabingwa Ulaya baada kuifunga Inter Milan ya Italia kipigo cha aibu cha mabao 5-1 jijini Munich, Ujerumani.

  9. PRIME Mapigo matano yaliyoipasua hisia Simba

    JIONI ya Jumapili kwenye Uwanja wa Amaan Complex, Zanzibar ilikuwa ni huzuni kwa Watanzania baada ya Simba kushindwa kunyakua ubingwa wa michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika.

  10. Simba wacheze na akili za Berkane

    MCHEZO wa marudiano wa fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika umepangwa kuchezwa Jumapili, Mei 25, 2025, katika Uwanja wa New Amaan Complex, Zanzibar kuanzia saa 10 jioni.

Page 1 of 15

Next