Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

1849 results for Charity James :

  1. Simba yaichapa JKT Tanzania, yatanguliza mguu mmoja Ligi ya Mabingwa 

    BAO la kiungo Fabrice Ngoma alilofunga katika dakika za nyongeza kipindi cha kwanza, limetosha kuipa Simba ushindi wa 0-1 dhidi ya JK Tanzania na kujihakikishia nafasi kubwa ya kushiriki michuano...

    SIMBA Pict
  2. Pamba Jiji yaja mjini kimkakati

    PAMBA Jiji imeshacheza mechi nne za Ligi Kuu jijini Dar es Salaam bila kuonja ushindi, ilianza kutoka suluhu na Azam FC kabla ya kunyooshwa 4-0 na Yanga, kisha ikachezea kichapo cha bao 1-0...

    PAMBA Pict
  3. Coastal Union yaanza na kiungo wa boli

    WAGOSI wa Kaya, Coastal Union wameanza usajili wa kimya kimya kwa kuibomoa Ken Gold kwa kuamua kumsajili kiungo Kiala Lassa wa timu hiyo iliyoshuka daraja, ikiwa ni maandalizi ya msimu mpya wa...

    KIUNGO Pict
  4. Kaseja awatuliza mastaa Kagera Sugar

    KOCHA Mkuu wa Kagera Sugar, Juma Kaseja anajua wana mechi ngumu za kumaliza msimu salama, lakini amesema amefanya kikao na wachezaji wa timu hiyo kuwatuliza na kuwataka wacheze kiufundi na kuweka...

    KWARAA Pict
  5. PRIME Mwamuzi mechi ya Simba, Mashujaa FC achunguzwa

    MWENYEKITI wa Kamati ya Waamuzi Tanzania, Nassor Hamduni amesema kwa mujibu wa kanuni za Chama cha Waamuzi Tanzania (FRAT), hairuhusiwi mwamuzi kuwa mwanachama wa klabu na kama ikibainika...

  6. PRIME Aucho akoleza mzuka Yanga

    KIKOSI cha Yanga kimesharejea jijini Dar es Salaam kikitokea Pemba, Zanzibar kilipoenda kushiriki michuano ya Kombe la Muungano na kuibuka mabingwa kwa kuifunga JKU kwa bao 1-0, huku kiungo wa...

    AUCHO Pict
  7. PRIME Sababu tatu zilizoiangusha Yanga CAS

    MABOSI wa Yanga inaelezwa jana waliitana na kujifungia ili kujadili hukumu ya kesi waliyoifungua Mahakama wa Kimataifa ya Usuluhishi ya Michezo (CAS), iliyotupiliwa mbali, huku zikitajwa sababu...

    SABABU Pict
  8. PRIME Usajili CAF… Bada, Sure Boy wapishana Yanga

    KITAKWIMU ni rasmi kwamba Yanga imeshafuzu Ligi ya Mabingwa msimu ujao ikiwa imesaliwa na mechi kadhaa mkononi.

    BADA Pict
  9. PRIME Mastaa wanne wapishana Yanga

    KITAKWIMU ni rasmi kuwa, Yanga imeshafuzu Ligi ya Mabingwa Afrika msimu ujao ikiwa imesaliwa na mechi nne mkononi.

  10. Nyota Tabora United amzimia Mpanzu

    BEKI wa zamani wa Polisi Tanzania na Yanga anayekipiga kwa sasa Tabora United, Yassin Mustafa amemtaja Elie Mpanzu, ndiye winga hatari zaidi katika Ligi Kuu Bara na ni Luis Miquissone mpya wa...

Page 1 of 185

Next