Jeshi la Polisi latoa uhakika wa usalama Kariakoo Dabi Jeshi la Polisi Kanda maalum ya Dar es Salaam limewahakikishia usalama wananchi katika mechi ya Simba na Yanga inayotarajiwa kuchezwa kesho Jumatano Juni 25, 2025 huku ikiwaonya wenye lengo...
PRIME Kisa dabi, kikao kizito Yanga WABABE wa soka la Bongo, Simba na Yanga wanakutana kesho katika mechi ya Dabi ya Kariakoo ambayo imetawaliwa na mambo kibao na ambayo imekuwa ikitembea kwa muda mrefu na kaulimbiu moja kwa muda...
Napoli yaendelea kukomaa na saini ya Jadon Sancho MANCHESTER United inafanya majadiliano ya ndani kuhusu ofa ambayo inaweza kuiandaa kwa ajili ya kumsajili mshambuliaji wa Napoli na timu ya taifa ya Nigeria, Victor Osimhen, mwenye umri wa miaka 26.
PRIME Maswali tata zawadi za Yanga Kombe la FA UKIPITA mitaani kuanzia vijiwe vya kahawa, maskani za bodaboda, na hata katika daladala hadi mitandaoni, mjadala mkubwa ni mvutano uliopo baina ya Shirikisho la Soka la Tanzania (TFF) na Klabu ya...
Manchester United yapanga mikakati kwa Osimhen MANCHESTER United inafanya majadiliano ya ndani kuhusu ofa ambayo inaweza kuiandaa kwa ajili ya kumsajili mshambuliaji wa Napoli na timu ya taifa ya Nigeria, Victor Osimhen, mwenye umri wa miaka 26.
PRIME Hoja sita kuamua Dabi ya Kariakoo WAKATI sintofahamu ikiendelea kutanda juu ya hatma ya mchezo wa Dabi ya Kariakoo, viongozi wa Yanga wameitwa makao makuu ya Bodi ya Ligi Kuu Tanzania Bara (TPLB).
Kombe la dunia la klabu, Marekani kumenoga IKIWA zimebakia siku tisa kabla ya kuanza kwa michuano ya Kombe la Dunia la klabu itakayopigwa kule Marekani, maandalizi ndani ya nchi yanaripotiwa kuwa yameshamilika na sasa kinachosubiriwa ni...
PRIME Sababu 5 za mtego wa dabi BADO kuna utata juu ya hatma ya mchezo wa kiporo namba 184 kati ya Yanga na Simba ambapo kujua upande mmoja haujanyoosha maelezo kama mchezo upo au haupo hatua ambayo inaweka rehani mechi hiyo.
PRIME Nabi akomaa na Ahoua, kuhusu Fei Toto ipo hivi KOCHA wa Kaizer Chiefs ya Afrika Kusini, Nasredine Nabi ameondoka nchini na kumtimkia Ulaya kwa mapumziko, lakini hapa Tanzania alimuacha skauti wao mmoja maalum kwa ajili ya kuwaangalia...
PSG v Inter, beti kwenye fainali ya kusisimua ya UEFA Tovuti bora ya kubashiri michezo 1xBet inawasilisha mechi ya uamuzi ya mashindano makuu ya vilabu barani Ulaya, itakayochezwa Mei 31.