Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

707 results for Damian Masyenene :

  1. ‎RC Mtanda: Mwenda usiondoke Yanga, hiyo ndio timu bora

    MKUU wa Mkoa wa Mwanza, Said Mtanda amempongeza beki wa Yanga, Israel Mwenda kwa mafanikio aliyoyapata msimu huu akiwa na kikosi hicho, huku akimuomba asiondoke klabuni hapo kwa ndio timu bora...

  2. ‎Mastaa Ligi Kuu waipamba Alliance Day Mwanza, team Maxi Nzengeli ikishinda

    LEO Kituo cha Michezo na Shule za Alliance za jijini Mwanza zimesherehekea miaka 25 tangu kuanzishwa kwake na kuenzi miezi sita ya kifo cha muasisi wake, James Bwire katika bonanza la Alliance Day.

  3. MWASHINGA: Kiungo aliyewakataa Khalid Aucho, Kagoma

    KATIKA orodha ya wachezaji waliotamba kwenye kikosi cha Pamba Jiji msimu wa 2024/25 wa Ligi Kuu Bara, jina la James Mwashinga haliwezi kukosekana.

    MWASHINGA Pict
  4. Manyasi azigonganisha Singida BS, Mtibwa Sugar

    BAADA ya msimu wa Ligi Kuu Bara kukamilika Juni 25, mwaka huu, timu zimeanza mipango ya kuimarisha vikosi kwa ajili ya msimu ujao ikiwemo kusajili wachezaji wapya na kuboresha maeneo yenye upungufu.

  5. Samatta, mastaa 18 Simba na Yanga kuipamba Alliance Day

    NAHODHA wa timu ya taifa, Taifa Stars, Mbwana Samatta pamoja na mastaa zaidi ya 18 wa Simba, Yanga na timu nyingine za Ligi Kuu Bara wanatarajia kushiriki na kunogesha tamasha la Kituo cha...

    ALLIANCE Pict
  6. Winga Pamba anaukubali mziki wa Chama

    BAADA ya kiungo wa zamani wa Simba, Thadeo Lwanga ‘Injinia’ aliyekuwa msomi wa chuo kikuu akiwa amehitimu Uhandisi wa Programu kutoka Chuo cha Makerere, winga John Nakibinge ni mchezaji mwingine...

    New Content Item (1)
  7. Minziro ajitathmini, akiwataja maafande

    KOCHA mkongwe nchini, Fred Felix ‘Minziro’ amefanya tathmini yake na kuitaja JKT Tanzania kuwa timu ya mfano na ya kuigwa kwa timu za madaraja ya kati (mid table).

    MINZIRO Pict
  8. Minziro ashusha pumzi, JKT Tanzania kiroho safi

    WAKATI maafande wa JKT Tanzania wakisema hawana wa kumlaumu kwa kipigo walichopewa na Pamba Jiji kwani kwani malengo kwa msimu huu yapo sawa, kocha Fred Felix ‘Minziro’ ameshusha pumzi ndefu...

    MINZIRO Pict
  9. Kyaruzi aitega Mtibwa Sugar

    BEKI mkongwe wa zamani wa Kagera Sugar, Erick Kyaruzi ‘Mopa’ amesema ametimiza malengo aliyopewa na Mtibwa Sugar kuhakikisha anaisaidia kurejea Ligi Kuu Bara, huku akijivunia kutoa mchango mkubwa...

    KYARUZI Pict
  10. Pamba Jiji yaita mashabiki, yasema haigomi kama Yanga

    UONGOZI wa Pamba Jiji imeipiga kijembe Yanga kiaina kwa kusema watacheza mechi mbili za mwisho za Ligi Kuu na wala hatagoma kama vinara hao na kuamua kuwaita mashabiki wa timu wajitokeze kwa...

    PAMBA Pict

Page 1 of 71

Next