Ancelotti hatarini kufungwa jela KOCHA Carlo Ancelotti amejiweka kwenye hatari ya kufungwa jela kwa zaidi ya miaka minne baada ya kudaiwa kukwepa kulipa kodi, mahakama moja ya Hispania imefichua. cha Real Madrid kilitarajiwa...
Guardiola afuta bonasi Man City KOCHA wa Manchester City, Pep Guardiola amesema mastaa wa kikosi hicho hawastahili kabisa kupewa bonasi msimu huu hata kama watakwenda kushinda ubingwa wa Kombe la Dunia la Klabu.ill Nicholson...
Majembe ya Man United yamerudi MANCHESTER United imeongezewa mzuka baada ya beki wao wa kati, Leny Yoro na mastaa wengine wanne kurejea kwenye kikosi wakiwa fiti kwa ajili ya kuendeleza mapambano ya kuhakikisha timu inamaliza...
Brazil yamtimua kocha baada ya kichapo, Ancelotti atajwa Brazil imemtimua kocha Dorival Junior, baada ya kupokea kipigo cha mabao 4-1 kutoka kwa mahasimu wao Argentina katika michuano ya kuwania kufuzu Kombe la Dunia.
Mastaa Real Madrid hatarini kufungiwa HABARI ndo hiyo. Arsenal inaweza kupata mserereko kwenye mechi yake ijayo ya Ligi ya Mabingwa Ulaya baada ya mastaa wanne wa Real Madrid kuwa kwenye hatari ya kufungiwa kucheza kipute hicho cha...
Shearer aweka tiki Kane kutua Anfield GWIJI, Alan Shearer amesema Liverpool haitaonekana kwamba imetumia akili mbovu endapo itapambana kunasa huduma ya straika wa Bayern Mnnich, Harry Kane kwenye dirisha lijalo la majira ya kiangazi...
PRIME WAJE TUONE: Wanasubiriwa kwa hamu Ligi Kuu England LIGI Kuu England inaelekea ukingoni, ikiwa imebakiza miezi michache kufika tamati na sasa mipango ya makocha imeshaanza kuelekezwa kwenye usajili wa mastaa wapya kwa ajili ya msimu ujao.
Bukayo Saka arejea uwanjani tayari kuivaa Madrid BUKAYO Saka amebakiza hatua chache sana kabla ya kuanza kuonekana tena uwanjani na uzi wake wa Arsenal.
PRIME Kocha Yanga amshtukia Ikangalombo YANGA inacheza na Songea United Jumamosi hii saa 10 jioni kwenye mechi ya FA. Lakini Kocha Hamdi Miloud kuna kitu amekiona kwa winga Mkongomani aliyesajiliwa dirisha dogo, Jonathan Ikangalombo...
Jonathan David achanganya vigogo Ulaya NEWCASTLE imeungana na Manchester United, Tottenham, West Ham, Chelsea na Liverpool katika vita ya kuiwania saini ya mshambuliaji wa Lille na timu ya taifa ya Canada, Jonathan David, 25, katika...