PRIME Lamine Yamal anavyowapoteza wengi kwenye umri wake KINDA na fundi wa mpira wa Barcelona, Lamine Yamal pengine ni mchezaji bora kabisa kwenye umri wake kwenye historia ya soka.
PRIME Arsenal kwenye mitindo minne ya kijanja kuizima Real Madrid ARSENAL imejikuta kwenye janga jingine la majeruhi kwenye kikosi na bahati mbaya pengine jambo hilo limetokea kwenye kipindi kibaya zaidi.
Olmo, Pau kizungumkuti FC Barcelona NYOTA wa Barcelona, Dani Olmo na Pau Victor wanakabiliwa na hatari ya kuondolewa tena kikosini na mamlaka za soka nchini Hispania baada ya kunusurika kadhia hiyo mwaka jana.
Victor Osimhen aikataa Juventus MAOMBI ya Juventus ya kutaka kumsajili mshambuliaji wa Napoli na Nigeria, Victor Osimhen, katika dirisha lijalo la majira ya kiangazi yanadaiwa kukataliwa na staa huyo ambaye anatamani zaidi...
Mikel Arteta aingiwa ubaridi KOCHA wa Arsenal, Mikel Arteta amezidi kupata pigo kwa orodha ya wachezaji wenye majeraha kuongezeka huku mechi ya robo fainali ya mkondo wa kwanza ya Ligi ya Mabingwa Ulaya dhidi ya Real Madrid...
Bosi Andrea Berta aanza na Nico Williams atue Arsenal MKURUGENZI mpya wa michezo wa Arsenal, Andrea Berta amekutana na wakala wa staa wa Athletic Bilbao, Nico Williams katika siku za karibuni kujadili uwezekano wa kuipata saini yake katika dirisha...
Ancelotti atinga mahakamani, akana mashataka KOCHA wa Real Madrid, Carlo Ancelotti, amesisitiza kwamba hana hatia wala wasiwasi katika kesi yake inayomkabili ya udanganyifu na kukwepa kodi.
Slot: Mchawi wa Federico Chiesa ni Salah KOCHA wa Liverpool, Arne Slot anaamini sababu mojawapo iliyochangia staa wa timu hiyo, Federico Chiesa kutoonyesha kiwango kilichotarajiwa ni ubora mkubwa unaoendelea kuonyeshwa na Mohamed Salah...
PRIME Kibabe zaidi... Yanga na rekodi tamu Kombe la Shirikisho (FA) UNAIKUMBUKA ile mechi ya fainali ya Kombe la Shirikisho (ASFC) iliyopigwa Julai 25, 2021 kwenye Uwanja wa Lake Tanganyika, mjini Kigoma?
Djed Spence aambiwa kachezee Kenya wewe BEKI wa Tottenham Hotspur, Djed Spence ameambiwa aachane na England na badala yake achague kuichezea Kenya kwenye soka la kimataifa baada ya kocha Thomas Tuchel kumtosa kwenye uteuzi.