Wavuta nywele wapunguziwa adhabu EPL WAAMUZI wa Ligi Kuu England watabadilisha namna wanavyotafsiri matukio ya kuvuta nywele kuanzia msimu ujao wa 2026/27, baada ya wachezaji watatu kutolewa kwa kadi nyekundu kwa kosa hilo katika...
Amorim atajwa kutua AC Milan ALIYEKUWA kocha mkuu wa Manchester United, Ruben Amorim ni mmoja wa makocha wanaopewa nafasi kubwa ya kuifundisha AC Milan.
Liverpool, Arsenal zamtolea macho Barcola KLABU za Liverpool na Arsenal zimeaanza kupigana vikumbo kuwania saini ya nyota wa Paris Saint-Germain, Bradley Barcola.
James Harden akamatwa Houston NYOTA wa NBA, James Harden ameanza kipindi cha mapumziko ya msimu akiwa na changamoto mpya nje ya uwanja baada ya kukamatwa mapema Jumamosi mjini Houston na kushtakiwa kwa kosa la kubeba silaha...
FIFA yaondoa nyota jezi ya Misri Kombe la Dunia Kampuni ya Puma, inayotengeneza jezi za Misri, imelazimika kufanya marekebisho ya haraka ili kufikia masharti hayo kabla ya mchezo wa kwanza.
Mpo? Agomea ndoa kisa soka WAKATI mastaa wengi duniani wakianzisha familia sambamba na ma isha ya soka, nahodha wa Korea Kusini, Son Heung-min ameendelea kushikilia msimamo wake wa kutanguliza soka mbele ya kila kitu, hata...
Onyo kwa Trent ujio wa Dumfries Madrid BAADA ya kumalizika kwa msimu wa Ligi Kuu England ambao hakuwa mzuri sana kwake, Trent Alexander-Arnold atalazimika kuboresha zaidi kiwango msimu ujao ikiwa anataka kumshawishi kocha mpya, Jose...
Ancelotti: Neymar kurejea wiki ijayo JANA, Jumamosi usiku, Brazil ilikuwa uwanjani MetLife huko New Jersey kukabiliana na Morocco katika mechi ya kundi C la Kombe la Dunia 2026, lakini nyuma ya mchezo huo mashabiki walikuwa...