West Ham United yaacha watano, Antonio bado WEST Ham United imetangaza kuwatema wachezaji watano dirisha hili la uhamisho wa majira ya kiangazi, lakini ikishindwa kubainisha chochote juu ya hatima ya straika wao, Michail Antonio.
Lewandowski akacha timu ya taifa kisa kocha STRAIKA gwiji, Robert Lewandowski ameamua kujiweka kando kuichezea Poland hadi hapo kocha atakapofutwa kazi.
Bosi Mamelodi awaza kupenya kundi gumu KOCHA wa Mamelodi Sundowns, Miguel Cardoso amesema itakuwa mafanikio makubwa kwa timu yake endapo itapenya kwenye Kundi F, alilolitaja kuwa ni la kifo katika fainali za Kombe la Dunia la Klabu...
Jamal Musiala akaaa pazuri kwa mabao STAA wa Bayern Munich, Jamal Musiala ameanza kwa kasi kubwa fainali za Kombe la Dunia la Klabu baada ya kuongoza vita ya ufungaji kufuatia kutikisa nyavu mara tatu katika michuano hiyo.
Lionel Messi: Sina urafiki na Cristiano Ronaldo Nyota wa Inter Miami na timu ya taifa ya Argentina, Lionel Messi (37) amefichua kuwa hana urafiki na staa wa Al Nassr na timu ya taifa ya Ureno, Cristiano Ronaldo (40).
Zuchu: Akinipenda Mondi inatosha MSANII wa Wasafi, Zuchu amesema hata kama leo watu watamchukia kwa jinsi alivyo au kwa kuzungumza ukweli, hawezi kuumia hata siku moja kwa sababu anaamini aliyempenda kwa dhati ni mumewe, Diamond...
Amorim atabasamu ishu ya Donnarumma KOCHA wa Manchester United, Ruben Amorim aliachia tabasamu zito alipoulizwa na shabiki mmoja kama atamsajili nyota wa Paris Saint-Germain, Gianluigi Donnarumma.
Mokhtar afufua ndoto za Mauritania CHAN 2024 USHINDI wa Mauritania dhidi ya Jamhuri ya Afrika ya Kati katika michuano ya CHAN 2024 umeibua matumaini mapya kwa kikosi cha Mourabitounes, huku mchezaji bora wa mechi hiyo, Ahmed Mokhtar Ahmed...
Howe afunguka kitu kuhusu Isak KOCHA wa Newcastle United, Eddie Howe amekiri kama ingekuwa rahisi kumshawishi straika Alexander Isak abaki kwenye kikosi chake angefanya hivyo muda mrefu sana.
Saka akimbizana kuwahi Man City BUKAYO Saka anakimbizana na muda ili kupona haraka kwa ajili ya kulitumikia chama lake la Arsenal kwenye mechi ya kibabe dhidi ya Manchester City, mwezi ujao.