Man United yaanza EPL kwa kipigo nyumbani Bao la dakika ya 13 kupitia kwa Riccardo Calafiori, lilitosha kuizima Man United katika mechi ya kwanza ya Ligi Kuu ya England (EPL) mbele ya Arsenal.
Mara Paap! Vardy katua Napoli STRAIKA Jamie Vardy huenda akabamba dili matata kwenda kujiunga na Napoli ya Italia kutokana na mabingwa hao wa Italia kuhitaji saini ya mshambuliaji huyo asiyekuwa na timu kwa sasa.
Sio Yanga tu hata Azam v KMKM ni buree Klabu ya Azam FC imetangaza kuwa mchezo wa marudiano dhidi ya KMKM kombe la Shirikisho utakaopigwa Oktoba 24, 2025 kwenye uwanja wa Azam Complex hauna kiingilio.
Wakala amtishia Udogie bastola STAA wa Tottenham Hotspur, Destiny Udogie ametajwa kuwa ni mwanasoka wa Ligi Kuu England aliyetishiwa bastola na wakala wake.
DAH! Gyokeres shida bado iko palepale STRAIKA, Viktor Gyokeres amewekwa kando kwenye kikosi cha Sweden kitakachocheza mechi za kufuzu Kombe la Dunia dhidi ya Slovenia na Uswisi baadaye mwezi huu kutokana na kuwa majeruhi.
Postecoglou kumrithi Nuno Forest ANGE Postecoglou anajiandaa kuwa kocha mpya wa Nottingham Forest baada ya kufutwa kazi Nuno Espirito Santo.
Jeremy Doku aenda kubatizwa fasta STAA wa Manchester City, Jeremy Doku amekamilisha furaha yake ya kuwakanda Manchester United huko Etihad kwa kwenda kupatizwa na kumpokea Yesu.
Duh! Saka nje wiki nane nyingine BUKAYO Saka ataendelea kuwa nje ya uwanja kwa wiki nane zaidi huku tatizo la majeruhi likiendelea kuwa kubwa na kusumbua kambi ya kikosi cha Arsenal.
JKT yanusa ubingwa BDL FAINALI ya tatu ya Ligi ya kikapu Dar es Salaam (BDL) ilipigwa juzi Jumatatu kati ya JKT dhidi ya UDSM Outsiders ikibakiza mchezo mmoja tu kumjua bingwa wa mwaka 2024.
Leicester kumtangaza Van Nistelrooy Leicester City inayoshiriki Ligi Kuu ya England huenda ikamtangaza aliyekuwa kocha msaidizi wa Manchester United, Ruud van Nistelrooy kuwa kocha mkuu wa klabu hiyo.