Njombe ikiwadaka hawa, siyo mchezo Kiungo wa zamani wa African Lyon, Awadh Salum yupo mbioni kutua Njombe Mji baada ya uongozi wa timu hiyo kuonyesha nia naye kwa kumtumia pesa ya nauli kwenda kufanya mazungumzo.
Lupita aibukia katika aksheni mwanzo mwisho Hollywood NYOTA mwigizaji wa Hollywood, Mkenya Lupita Nyong’o, kaibuka kwenye filamu mpya safari hii ikiwa ni ya aksheni mwanzo mwisho.
Kocha Serengeti awaibua vijana 25 Umisseta Kocha Oscar Millambo wa Serengeti Boys amesema ameamua kwenda kuangalia vipaji katika mashindano ya Shule za Sekondari ya Umisseta kwa ajili ya timu za vijana chini ya miaka 16 na chini ya...
KWA YANGA! HAWACHOMOKI SIMBA na Singida United zimeanza usajili wa mbwembwe ambao umeonekana kuwatisha mashabiki wa Yanga, lakini imebainika kwamba hata iweje kuna wachezaji 13 ambao hawawezi kung’oka Jangwani.
Lwandamina ataja mashine saba KOCHA wa Yanga, Mzambia George Lwandamina, ameikabidhi kamati mpya ya usajili wa Yanga mashine mpya saba na akawaambia atatua Julai Mosi kuanza kazi.
China yapiga marufuku usajili wa kufuru Shirikisho la Soka China (CFA), limetangaza sera mpya inayohusiana na gharama za uhamisho kwa wachezaji wa kigeni hasa ikiwalenga wachezaji wanaohusishwa kwenda kucheza ligi nchini humo.
Serengeti Boys yasaka Sh167Mil kwa Niger Mbali ya kupata tiketi ya kushirki Kombe la Dunia kwa vijana wenye miaka 17, matokeo ya sare au ushindi kwa timu ya vijana ya Tanzania 'Serengeti Boys' dhidi ya Niger leo, timu hiyo itafanikiwa...
Mzambia Yanga amzidi akili Pluijm KOCHA wa Yanga, George Lwandamina, amethibitisha kwamba ni kocha wa kiwango cha juu baada ya kuweka rekodi mbili kubwa ambazo zilimshinda mtangulizi wake Mdachi, Hans Van Pluijm.
Oscar amwita Costa China Mchezaji Oscar anayechezea klabu ya Shanghai amesema kwamba atafurahi Diego Costa akijiunga na klabu ya Ligi Kuu China.
SITA WAPIGWA CHINI YANGA YANGA ina mechi tano mezani ambazo kwa namna yoyote ile wanapaswa kushinda kama wanataka kutetea ubingwa wao, lakini Kocha George Lwandamina amepangua kikosi hicho na kuweka kando baadhi ya...