Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

3982 results for Mwandishi Wetu :

  1. Slot anahitaji mshambuliaji Liverpool

    LIVERPOOL wamepanga kusajili mshambuliaji katika dirisha lijalo la majira ya kiangazi ikiwa ndio kipaumbele cha kwanza cha kocha wa timu hiyo Arne Slot.

    MSHAMBULIAJI Pict
  2. PRIME Rekodi yamsubiri Mzize Ufaransa

    KIWANGO bora kinachoonyeshwa na mshambuliaji wa Yanga, Clement Mzize kimezivutia timu mbalimbali kusaka saini yake, huku ikielezwa nyota huyo anayeongoza kwa mabao ya Ligi Kuu Bara akiwa na 13...

  3. Rashford alilia mchongo wa Barcelona

    MSHAMBULIAJI wa Manchester United, Marcus Rashford yuko tayari kukubali kupunguziwa mshahara ili kuondoka katika dirisha lijalo la majira ya kiangazi na kujiunga na Barcelona inayodaiwa kumhitaji.

  4. Spurs, Man United zapata matumaini

    BAADA ya Ligi ya Mabingwa Ulaya kupigwa juzi na jana, leo Europa League itaendelea katika hatua ya nusu fainali ambapo Manchester United itakuwa Hispania kuvaana na Athletic Bilbao, huku...

  5. Arteta: Ili kufuzu fainali UEFA tunahitaji kitu spesho Paris

    KOCHA wa Arsenal, Mikel Arteta, amesema kikosi chake kitahitaji "kufanya jambo la kipekee jijini Paris" iwapo wanataka kufuzu fainali ya Ligi ya Mabingwa baada ya kupoteza mechi ya kwanza ya nusu...

  6. Bosi Man United ataka kupunguza wengine

    TAJIRI wa Manchester United, Sir Jim Ratcliffe anatarajiwa kumfuta kazi ofisa wa muda mrefu wa timu hiyo ikiwa ni katika harakati zake za kupunguza matumizi ya timu.

  7. Ancelotti atajwa kutua Saudia

    KOCHA wa Real Madrid, Carlo Ancelotti huenda akatimkia Saudi Arabia licha ya hivi karibuni kudaiwa kufikia makubaliano ya kuchukua mikoba ya kuifundisha timu ya taifa ya Brazil.

  8. Bruno Fernandes akataa kichaka cha Europa

    NAHODHA wa Manchester United, Bruno Fernandes anaamini kushinda Europa League hakutobadilisha ukweli, msimu huu kwao ulikuwa ni mbaya.

    BRUNO Pict
  9. Alexander-Arnold kubadili upepo Liverpool

    BEKI kisiki wa Liverpool, Trent Alexander-Arnold ambaye anadaiwa atajiunga na Real Madrid mwisho wa msimu huu, mkataba wake utakapomalizika, huenda mambo yakabadilika na akabaki kwa mujibu wa...

    TRENT Pict
  10. Wakala wa Gyokeres kutua London

    WAKALA wa mshambuliaji wa Sporting Lisbon, Victor Gyokeres anatarajiwa kutua London, mwezi ujao kufanya mazungumzo na baadhi ya timu zinazohitaji huduma ya mchezaji wake.

    WAKALA Pict
Previous

Page 70 of 399

Next