WAMOTO SI MCHEZO: Messi, Ronaldo wanavyoburuzwa na Giggs Ligi ya Mabingwa Ulaya
NUSU fainali ya kwanza ya Ligi ya Mabingwa Ulaya inapigwa leo, ambapo PSG itaikaribisha Bayern Munich katika dimba la Parc des Princes lililopo Paris, Ufaransa lenye uwezo wa kuchukua watu 47,929.