Serena hafikiri kustaafu kucheza tenisi Serena akiwa na miaka 37 hivi sasa haionekani kuwa tayari kustaafu tenisi wakati wowote hivi karibuni.
DJ Arafat amefariki dunia kwa ajali ya pikipiki Mwanamuziki maarufu wa mitindo ya Coupé-Décalé nchini Ivory Coast, Houon Ange Didier ‘DJ Arafat’ (33), amefariki dunia kwa ajali ya pikipiki aliyokuwa akiendesha kugongwa na gari.
Federer agoma kupokea Dola 1 milioni za Saudi Arabia Mcheza tenisi mahiri wa Uswisi, Roger Federer, ameipuuza na kukataa ofa ya Dola 1 milioni kutoka Serikali ya Saudi Arabia ili kucheza mechi za mashindano maalumu ‘Super Match’.
KMC yaachana na Maximo baada ya siku 131 SIKU 131 zimetosha kwa Marcio Maximo kuwa Kocha wa KMC, baada ya klabu hiyo leo Desemba 6, 2025 kutangaza kusitisha mkataba wake.
Gabriel Jesus arejeshwa kikosini, Arsenal ikijiandaa na Club Brugge Arsenal wametangaza kuwa Gabriel Jesus ameongezwa kwenye kikosi cha Ligi ya Mabingwa Ulaya kuanzia sasa.
Harry Kane hii sasa sifa, afanya kufuru Harry Kane alitoka benchi na kufunga hat-trick wakati Bayern Munich walipokuwa na ushindi mkubwa wa 5-0 dhidi ya VfB Stuttgart ushindi wao wa 72 ambao ni rekodi katika Bundesliga na kuongeza...
Isak anunua mbwa kwa Sh96 milioni STRAIKA wa Liverpool, Alexander Isak ametumia Pauni 30,000 (Sh95,508,600) kununua mbwa kwa ajili ya kumlinda kutokana na kupokea meseji nyingi za vitisho vya kuawa.
Vinicius, Real Madrid mambo yamenoga TAARIFA za ndani zinaeleza wawakilishi wa Real Madrid na wale wa Vinicius Junior wamefikia makubaliano kamili ya kumuongeza mkataba mpya Mbrazil huyo kwa muda mrefu zaidi.
Bayern Munich yaiachia majanga Arsenal ARSENAL imepata pigo jingine katika safu yao ya ushambuliaji baada ya staa wao Leandro Trossard kulazimika kuondolewa uwanjani kutokana na jeraha wakati wa mechi yao ya Ligi ya Mabingwa Ulaya...
Geremi Njitap ampa maua yake Cole Palmer akimfanisha na Lampard Kiungo wa zamani wa Chelsea, Geremi Njitap, amemlinganisha gwiji wa klabu hiyo, Frank Lampard na kinda anayetamba kwa sasa, Cole Palmer.