AY na Banza watoa ujumbe mzito WANAMUZIKI maarufu nchini AY na Banzastone wamewaonya mashabiki kutofuata mkumbo katika kufanya maamuzi kwenye uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba.
Nyota wa Harambee Stars aandamwa kwa kufilisika Mchezaji huyo alikipiga kwenye klabu mbalimbali nje ya Kenya na kupata pesa lakini ameacha sintofahamu maisha yake kuonekana ya tabu.
Azam yavunja rekodi ya Simba Afrika SAHAU kuhusu uwanja wa kisasa wa Chamanzi unaomilikiwa na Azam au straika wake Muivory Coast Kipre Tchetche anayeongoza....
Vigogo wang'oka Simba, Mpira Pesa huru VIGOGO wawili wazito na wenye ushawishi mkubwa kwenye maamuzi ya ndani ya Simba wamebwaga manyanga lakini
Nchi 48 kuziona Simba na Yanga MECHI ya Ligi Kuu Tanzania Bara baina ya watani wa jadi; Simba na Yanga itaonekana karibu bara lote la Afrika.
Dalali hajakanyaga Msimbazi miaka mitatu HASSAN Dalali, Mwenyekiti wa zamani wa Simba ametoa mpya baada ya kusema hajakanyaga makao makuu ya klabu
Abramovic kuipiga bei Chelsea Tajiri huyo inaripotiwa ameiagiza Benki ya America ya Raine Group kusimamia suala la mauzo ya klabu hiyo ya jijini London.
Coast vs Congo Kesho Uwanjani TIMU ya Coastal Union kutoka Tanga itapambana na Congo United kwenye mchezo wa kirafiki wa kujipima nguvu utakaofanyika kwenye uwanja wa Mbaraki Sports Club mjini Mombasa kesho Jumatano.
Kumbe Conte kakataa ofa ya kuinoa Madrid Kocha Antonio Conte ameripotiwa kukataa nafasi ya kwenda kuchukua mikoba ya kuinoa Real Madrid ya Hispania.
Waandishi wanawake kujifunza lugha zaidi ya tano WAANDISHI wa habari za michezo upande wa wanawake, wametakiwa kufanya kazi za kipekee ambazo zitawatofautisha na wengine, pia wajifunze lugha zaidi ya tano na kujiwekea utamaduni wa kusoma vitabu.