Liverpool yatua Napoli ikimtaka Beukema MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu England, Liverpool inadaiwa kuwasilisha ofa ya Napoli ili kumnunua beki wa kati wa kimataifa wa Uholanzi, Sam Beukema (27).
Manchester United, Liverpool kuwasha moto Old Trafford leo PATAKUWA hapatoshi Old Trafford pale ambapo vigogo wawili wa soka la England, Manchester United na Liverpool, watakutana leo, Jumapili katika Dabi ya Kaskazini-Magharibi kwenye Ligi Kuu ya...
Kwa nini Andoni Iraola anafaa EPL? KUFUATIA habari kwamba kocha Andoni Iraola ataondoka Bournemouth baada ya mkataba wake kuisha, masikio mengi yamekuwa makini kote katika Ligi Kuu England kujua anakokwenda.
LeBron aongoza balaa Lakers, ikiizika Rockets MSIMU wa Houston Rockets umefikia tamati kwa maumivu makubwa baada ya kufungwa vibaya kwa pointi 98-78 dhidi ya Los Angeles Lakers katika Game 6 ya raundi ya kwanza ya mchujo katika NBA.
Pedro kuziba pengo la Lewandowski Barcelona BARCELONA inamtazama mshambuliaji wa Chelsea na timu ya taifa ya Brazil, Joao Pedro, 24, kama mmoja kati ya mastaa inaotaka kuwasajili ili kuziba nafasi ya straika Robert Lewandowski mwenye umri...
Ishu ya majeraha Arsenal yamtesa Arteta KOCHA wa Arsenal, Mikel Arteta ameonekana kuchoshwa na wimbi la majeruhi linaloikumba timu hiyo, hali iliyomlazimu kuchukua hatua nzito na kuamua kumpa kazi mtaalamu maalum kuchunguza tatizo...
Messi ampa mzuka dereva Formula 1 Nyota wa Inter Miami CF, Lionel Messi ametimiza ndoto ya dereva chipukizi wa Formula 1, Franco Colapinto kukutana naye kabla ya mashindano ya Miami Grand Prix nchini Marekani.
Nainggolan amshambulia Scott McTominay, amuita mchezaji wa kawaida Italia KIUNGO wa zamani wa Manchester United, Scott McTominay amezua mjadala nchini Italia ambako amekosolewa na staa wa zamani wa Serie A, Radja Nainggolan akimtaja Mwingereza huyo kuwa mchezaji wa...
Hatima ya Ubingwa La Liga, vita ya nne bora na msukosuko wa kushuka daraja MZUNGUKO wa 34 wa Ligi Kuu Hispania, La Liga unaopigwa mwishoni mwa wiki hii unaweza kushuhudia ubingwa ukiamuliwa kwa kiasi kikubwa na nafasi nyingine ya Ligi ya Mabingwa kuthibitishwa, ambapo...
WAFALME WAPYA ULAYA: Kane, Olise, Diaz waandika historia Bayern Munich HARRY Kane, Michael Olise na Luis Diaz wamevuka mabao 100 na kuandika historia ya kipekee ya pacha yenye watu watatu katika msimu wa Ligi Kuu Ujerumani (Bundesliga).