Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

166 results for Aisha Mbuma :

  1. TPLB yaufungia Uwanja wa CCM Kambarage, Shinyanga

    Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) imeufungia Uwanja wa CCM Kambarage uliopo mjini Shinyanga unaotumiwa na klabu ya JKT Tanzania kama uwanja wa nyumbani kutokana na kukosa vigezo vya kikanuni na...

  2. Naira Marley ashikiliwa na Polisi Nigeria kufuatia kifo cha msanii MohBad

    Polisi nchini Nigeria inamshikilia msanii Naira Marley kuhusiana na kifo cha nyota wa muziki wa ‘Afrobeats’ Ilerioluwa Oladimeji Aloba, maarufu MohBad. Kwa mujibu wa BBC Swahili, msemaji jeshi...

  3. Rais FUFA aeleza Ligi Kuu Bara inavyotoboa Afrika

    RAIS wa Shirikisho la Soka la Uganda (FUFA), Moses Magogo amefichua kwanini Ligi Kuu Tanzania Bara imepiga hatua kubwa na kuwa ya kishindani kwa miaka ya karibuni wakati ligi za Kenya na Uganda...

  4. Twiga Stars kumaliza ukame WAFCON

    Karata ya kwanza kwa timu ya taifa ya soka ya wanawake 'Twiga Stars' kusaka kufuzu Fainali ya Mataifa ya Afrika kwa Wanawake (WAFCON) dhidi ya wenyeji wao Ivory Coast leo Septemba 22 katika...

  5. Mashabiki wa Namungo wanne wafariki dunia

    Uongozi wa Namungo FC umesema gari walilokuwa wanatumia mashabiki wa timu hiyo kutoka Ruangwa kuja Dar es Salaam kuishangilia timu yao ikicheza dhidi ya Yanga mechi ya Ligi Kuu leo Septemba 20...

  6. Kocha Singida FG atimka kambini

    Maswali na hoja lukuki zimeibuka kwenye mitandao ya kijamii zikidai kocha wa timu ya Singida Fountain Gate, Ernst Middendorp ameondoka kambini lakini uongozi wa timu hiyo kupitia Ofisa habari...

  7. Sebo kukaa nje ya uwanja miezi mitatu

    Uongozi wa Azam FC umetangaza beki Abdallah Kheri 'Sebo', atakuwa nje ya uwanja kwa muda wa miezi mitatu baada ya kufanyiwa upasuaji wa goti la mguu wa kulia. Katika taarifa iliyotolewa na klabu...

  8. Taa zazima uwanjani Kaitaba mechi Kagera Sugar vs Geita Gold yaahirishwa

    Mchezo wa Ligi Kuu kati ya Kagera Sugar dhidi ya Geita Gold FC umeahiriishwa timu zote zikiwa suluhu 0-0, ni kutokana na tatizo la umeme ndani ya Uwanja wa Kaitaba, Bukoba, ukiwa umechezwa kwa...

  9. Yanga mguu mmoja makundi CAF

    Mabao mawili ya Yanga yaliofungwa na washambuliaji Kennedy Musonda na Clement Mzize dhidi ya ya Al Merrikh yametosha kuitanguliza Yanga mguu mmoja mbele katika hatua ya makundi Ligi ya Mabingwa...

  10. USM Alger yabeba CAF Super Cup ikiichapa Al Ahly

    USM Alger imetwaa taji la CAF Super Cup ikiwachapa vigogo wa soka la Afrika mara 11, Al Ahly ya Misri kwa bao 1-0 katika mechi iliyochezwa Uwanja wa King Fahd nchini Saudi Arabia. Fainali ya CAF...

Previous

Page 7 of 17

Next