Carrick atia neno kuhusu dili la Rashford KOCHA wa muda wa Manchester United, Michael Carrick amesema hakuna uamuzi wowote uliofanyika katika klabu hiyo kuhusu mshambuliaji Marcus Rashford.
Suarez hatihati kwenda Kombe la Dunia 2026 Ndoto ya mshambuliaji Luis Suarez kucheza kwa mara ya tano Kombe la Dunia akiwa na Uruguay ipo shakani.
Al Hilal inabalaa yabeba tena ugenini AL Hilal imetwaa ubingwa wa Ligi Kuu Rwanda ikiwa imebakiza mechi nne kumaliza msimu wa 2025-2026.
Arsenal yashinda yakaribia ubingwa EPL Bao pekee alilofunga na Kai Havertz limetosha kuipa pointi tatu muhimu Klabu ya Arsenal ambayo imebakiza mechi moja kumaliza msimu wa Ligi Kuu England wa 2025/2026.
Jesca anaendelea alipoishia WBDL NYOTA wa JKT Stars, Jesca Ngisaise ameendelea kudhihirisha ubora wake wa kutupia, baada ya kufunga pointi 94 katika mechi mbili za Ligi ya kikapu Dar es Salaam kwa Wanawake (WBDL).
EPL yashauriwa kuanzisha 'Play-off' za kushuka daraja LIGI Kuu England inapaswa kuanzisha mechi za mchujo (play-off) za kushuka daraja ili kurudisha utaratibu uliowahi kuwapo miaka ya nyuma na hivyo kuifanya kuwa bora zaidi kwa kuwa mara tu baada ya...
Devota Kihwelo: Nilisajiliwa kwa jezi ya Chelsea Katika tasnia ya habari nchini, jina la Devotha Kihwelo limejijengea heshima kama mwandishi shupavu wa habari za uchunguzi na michezo.
Muacheni Sanchez aishi maisha anayoishi NIKIWA nimejituliza zangu kwenye kochi kuu kuu, huku mkononi nimeshikilia kitabu cha The Spy Who Loved Castro, kilichoandikwa na mwandishi pekee wa kike niliyewahi kuelewa thamani ya vidole...
WCB wafunguka ishu ya Diamond kupigwa chupa kupanda jukwaani ilikuwa Jumamosi, lakini kutokana na kunyesha kwa mvua kubwa muda ambao msanii wetu alipaswa kupanda jukwaani ilishindikana,” “Kulikuwa na wasanii wengine wa nchini humo...
Klabu za England zinavyopiga pesa udhamini wa jezi WADHAMINI wa Manchester United kwenye jezi zao, Chevrolet bado wanashika namba moja kwa kutoa mkwanja mrefu kwenye Ligi Kuu England kwa mujibu wa mwandishi wa habari Alex Miller.