Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

8854 results for Mwandishi :

  1. Ashley Young kustaafu soka mwishoni mwa msimu

    ALIYEKUWA nahodha wa Manchester United na winga wa zamani wa timu ya taifa ya England, Ashley Young, ametangaza rasmi kuwa atatundika daruga mwishoni mwa msimu huu, akihitimisha safari ya kipekee...

    YOUNG Pict
  2. Arsenal, Mikel Arteta kuanza mazungumzo baada ya fainali 

    UONGOZI wa Arsenal unajiandaa kufanya mazungumzo na kocha wao, Mikel Arteta, kuhusu mkataba mpya utakaosainiwa mwishoni mwa msimu huu, huku kukiwa na nia ya dhati ya kumfanya abaki klabuni hapo...

    ARTETA Pict
  3. Messi afunguka ushindani na CR7

    SUPATAA wa kimataifa wa Argentina, Lionel Messi amezungumza kuhusu "ushindani bora wa kimchezo" kati yake na nyota wa Ureno, Cristiano Ronaldo uliowashuhudia wawili hao waliotajwa kuwa wachezaji...

  4. Kocha Madrid afunguka ishu ya Valverde, Tchouameni

    KOCHA wa Real Madrid, Alvaro Arbeloa amesema hatawasema vibaya wachezaji wake hadharani kufuatia ugomvi mkubwa uliotokea mazoezini kati ya Federico Valverde na Aurelien Tchouameni, lakini amekiri...

    BACK Pict
  5. PRIME Chama atoa kauli nzito Simba

    Soma hapa!

  6. Reece, dada’ke ‘kuzeekea’ Chelsea

    AHODHA wa Chelsea, Reece James ameahidi kubaki muda mrefu zaidi baada ya kusaini mkataba mpya wa miaka sita utakaomuweka Stamford Bridge hadi 2032, ambapo atakuwa na umri wa miaka 32.

  7. Ishu ya majeraha Arsenal yamtesa Arteta

    KOCHA wa Arsenal, Mikel Arteta ameonekana kuchoshwa na wimbi la majeruhi linaloikumba timu hiyo, hali iliyomlazimu kuchukua hatua nzito na kuamua kumpa kazi mtaalamu maalum kuchunguza tatizo...

  8. Salah: Henderson aagwe kwa heshima Anfield

    MSHAMBULIAJI wa Mohamed Salah ameibuka na ombi maalumu kwa mashabiki wa Liverpool kuhakikisha wanampa aliyekuwa nahodha wa timu hiyo, Jordan Henderson, kwaheri ya heshima anayostahili...

    SALAH Pict
  9. Arteta: Bado tuna kazi kubwa kutwaa ubingwa EPL

    LICHA ya kuibuka na ushindi wa bao 1-0, jana dhidi ya Newcastle na kukaa kileleni, Kocha wa Arsenal, Mikel Arteta amesisitiza bado wana kazi kubwa ya kufanya ili kushinda taji la Lig Kuu England.

    ARTETA Pict
  10. Gibbs-White aonyesha jeraha lake akimtaja mwenzake

    MORGAN Gibbs-White ametumia mitandao ya kijamii kuwashukuru mashabiki baada ya kupokea ujumbe mwingi wa pole kufuatia jeraha baya la kichwa alilolipata katika mchezo wa Ligi Kuu England dhidi ya...

    GIBBS Pict
Previous

Page 406 of 886

Next