Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

1057 results for Eliya Solomon :

  1. Kipa Berkane aichimba mkwara Simba

    KIPA wa RS Berkane ya Morocco, Munir El Kajoui amesema kikosi chao kimetua Tanzania kwa kazi moja tu - kuhakikisha kinakamilisha kile walichokianza kwenye mechi ya kwanza ya fainali dhidi ya...

    KIPA B Pict
  2. PRIME Kapombe aelezea Waarabu watakavyokanyaga moto Amaan Complex

    SIMBA ina mafaza wawili tu kwasasa na wote wapo kikosi cha kwanza. Shomari Kapombe na Mohammed Tshabalala.

    KAPOMBE Pict
  3. RS Berkane yatua  ikiingiwa ubaridi

    WAKATI joto la fainali ya marudiano ya Kombe la Shirikisho la CAF likizidi kupanda Zanzibar, kikosi cha RS Berkane ya Morocco kimetua salama nchini, huku kikiwa na presha ya mechi ya Jumapili...

    BERKANE Pict
  4. Makocha Yanga waipa ujanja Simba fainali CAFCC

    INAWEZEKANA. Ndivyo walivyosema kwa nyakati tofauti makocha wa zamani wa Yanga, Luc Eymael na Hans van der Pluijm wakiamini Simba inaweza kupindua matokeo ya mabao 2-0 dhidi ya RS Berkane katika...

    MAKIOCHA Pict
  5. PRIME Mambo matatu kuibeba Simba Morocco

    KOCHA wa Simba, Msauzi Fadlu Davids anaamini kuna mambo matatu muhimu ambayo yanaweza kuibeba Simba kwenye mechi ya kwanza ya fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya RS Berkane ya Morocco...

    SIMBA Pict
  6. Wabongo wapewa mchongo wa Messi Hispania

    KATIKA ulimwengu wa soka, historia ya mastaa wakubwa haianzii katika michuano ya Ligi ya Mabingwa Ulaya. Haianzii katika klabu kubwa kama Barcelona, Manchester United, Real Madrid au Bayern...

    MESSI Pict
  7. Simba yafunga 'file' la viporo kwa kishindo, yazidi kuibana Yanga

    'FILE' la mechi za viporo ambalo lilikuwa mezani kwa Kocha Fadlu Davids limefungwa rasmi jana Jumapili kwenye Uwanja wa KMC Complex, Mwenge jijini Dar es Salaam baada ya Simba SC kukamilisha...

    VIPORO Pict
  8. PRIME Fadlu anogewa Simba, atoa siri ya Ahoua

    CHARLES Jean Ahoua, sasa ndiye mchezaji aliyehusika katika mabao mengi zaidi msimu huu kwenye Ligi Kuu Bara akimpiku mpinzani wake mkubwa kutoka Yanga, Prince Dube baada ya juzi kufunga hat-trick...

    FADLU Pict
  9. Pluijm: Kwa Amankona Singida BS italamba dume

    KOCHA wa zamani wa Yanga, Hans van der Pluijm ameisifu Singida Black Stars kumsajili mshambuliaji wa Berekum Chelsea ya Ghana, Stephen Amankona, akisema iwapo itafanikiwa kukamilisha dili hilo...

  10. PRIME Fadlu avujisha meseji za Orlando, Tshabalala naye kumekucha

    KOCHA Mkuu wa Simba, Fadlu Davids amefichua ujumbe alioupokea kutoka kwa mmoja wa maofisa wa juu wa Orlando Pirates ya Afrika Kusini baada ya kufuzu fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika.

Previous

Page 5 of 106

Next