Kipa Berkane aichimba mkwara Simba KIPA wa RS Berkane ya Morocco, Munir El Kajoui amesema kikosi chao kimetua Tanzania kwa kazi moja tu - kuhakikisha kinakamilisha kile walichokianza kwenye mechi ya kwanza ya fainali dhidi ya...
PRIME Kapombe aelezea Waarabu watakavyokanyaga moto Amaan Complex SIMBA ina mafaza wawili tu kwasasa na wote wapo kikosi cha kwanza. Shomari Kapombe na Mohammed Tshabalala.
RS Berkane yatua ikiingiwa ubaridi WAKATI joto la fainali ya marudiano ya Kombe la Shirikisho la CAF likizidi kupanda Zanzibar, kikosi cha RS Berkane ya Morocco kimetua salama nchini, huku kikiwa na presha ya mechi ya Jumapili...
Makocha Yanga waipa ujanja Simba fainali CAFCC INAWEZEKANA. Ndivyo walivyosema kwa nyakati tofauti makocha wa zamani wa Yanga, Luc Eymael na Hans van der Pluijm wakiamini Simba inaweza kupindua matokeo ya mabao 2-0 dhidi ya RS Berkane katika...
PRIME Mambo matatu kuibeba Simba Morocco KOCHA wa Simba, Msauzi Fadlu Davids anaamini kuna mambo matatu muhimu ambayo yanaweza kuibeba Simba kwenye mechi ya kwanza ya fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya RS Berkane ya Morocco...
Wabongo wapewa mchongo wa Messi Hispania KATIKA ulimwengu wa soka, historia ya mastaa wakubwa haianzii katika michuano ya Ligi ya Mabingwa Ulaya. Haianzii katika klabu kubwa kama Barcelona, Manchester United, Real Madrid au Bayern...
Simba yafunga 'file' la viporo kwa kishindo, yazidi kuibana Yanga 'FILE' la mechi za viporo ambalo lilikuwa mezani kwa Kocha Fadlu Davids limefungwa rasmi jana Jumapili kwenye Uwanja wa KMC Complex, Mwenge jijini Dar es Salaam baada ya Simba SC kukamilisha...
PRIME Fadlu anogewa Simba, atoa siri ya Ahoua CHARLES Jean Ahoua, sasa ndiye mchezaji aliyehusika katika mabao mengi zaidi msimu huu kwenye Ligi Kuu Bara akimpiku mpinzani wake mkubwa kutoka Yanga, Prince Dube baada ya juzi kufunga hat-trick...
Pluijm: Kwa Amankona Singida BS italamba dume KOCHA wa zamani wa Yanga, Hans van der Pluijm ameisifu Singida Black Stars kumsajili mshambuliaji wa Berekum Chelsea ya Ghana, Stephen Amankona, akisema iwapo itafanikiwa kukamilisha dili hilo...
PRIME Fadlu avujisha meseji za Orlando, Tshabalala naye kumekucha KOCHA Mkuu wa Simba, Fadlu Davids amefichua ujumbe alioupokea kutoka kwa mmoja wa maofisa wa juu wa Orlando Pirates ya Afrika Kusini baada ya kufuzu fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika.