Fainali ASFC yawazuia Feitoto, Job kujiunga U23 imeshindikana kutokana na kuchelewa kwa upatikanaji wa baadhi ya nyaraka zake za kusafiria ikiwemo ‘Visa’ hivyo kumuita Daniel Mgore wa Biashara United. Wachezaji walioitwa ni makipa Metacha Mnata...
Nyota TPL watawala U-23 ), Daniel Mgore (Biashara Utd), na Wilbol Maseke (Azam Fc) huku mabeki ni Israel Mwenda, Lusajo Mwaikenda (KMC), Nickson Kibabage (Youssoufia fc), Paschal Msindo, Sospeter Israel (Azam) Abdulmajid...
UBISHI WA MZEE WA KALIUA: Kuna matajiri wengi, halafu kuna Bakhresa mmoja tu KAMA tunatakiwa kutengeneza sanamu ya heshima kwa watu wenye mchango mkubwa kwenye kukuza soka la Tanzania, mimi nampendekeza Said Salim Bakhresa.
UBISHI WA MZEE WA KALIUA: Ni kweli Yanga mbovu, lakini sio kwa Simba hii kubahatisha hayadumu sana. Mambo ya kutegemea muujiza kila siku sio ya kuamini sana, kama kuna mtu anajua sababu ya Simba kufungwa wikiendi iliyopita, tafadhali nijulishe kwa ujumbe mfupi kupitia...
UBISHI WA MZEE WA KALIUA: Ni uungwana kweli kuizomea TFF? WAPO watakaosema ndiyo, wapo watakaosema hapana. Kumekuwa na msuguano kati ya Yanga na Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kwa muda mrefu sana, ni kama vile Yanga wanaona hawatendewi haki na...
Kilichomtoa kifungoni Mwakalebela hiki hapa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limemfungulia makamu mwenyekiti wa Yamga, Frederick Mwakalebela aliyekuwa amefungiwa kwa miaka mitano kujihusisha na soka na kulipa faini ya Sh7 milioni.
Karia sasa kikaangoni Kamati ya Uchaguzi mkuu wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limevunja ukimya baada ya rais anayetetea kiti chake, Wallace Karia kudaiwa kufanya kampeni kinyume na kanuni.
UBISHI WA MZEE WA KALIUA: Ni kweli tuna ligi bora Tanzania kwa sasa? UWANJA uko wazi, kila mtu ana maoni yake, kila mtu ana vipimo vyake.
Waliokosa wadhamini wapewe nafasi, kura zitaamua KINACHOENDELEA kwenye michezo hivi sasa hasa kwa hapa nchini mchakato wa Uchaguzi Mkuu wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) utakaofanyika Agosti 7, jijini Tanga.
Ally Mayay akubali yaishe Aliyekuwa mgombea urais katika uchaguzi Wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Ally Mayay amesema sio lazima awe kiongozi hivyo kilichomtokea kwake anakiacha kama kilivyo na hakitamrudisha nyuma...